Kabla hujawa baba ,ulikuwa mtoto then ulithaminika now umekuwa baba mwenye kutoa uthaman kwa hivyo vyote usifadhaike sana au kama VP red utoton au use mwanamke
Mwanzo nilidhan lengo la kipindi ni kuchukua yale mazur na changamoto ambazo bibi zetu wangeweza kuzirithisha kwa kizazi hiki ili kuweza kutunza maadili yetu ya kitanzania, lakini imekua kinyume wanachukua maujinga yao kuwafundisha. sijui wanalengo gani na malezi ya watoto wa leo na wa baadae...
kaka jichunguze hata ww unaweza ukawa na tabia ya ubahili unao kera hata soda unataka upunguziwe. maana inaonyesha anakupinga kunako malipo tu! sas kama hat hg unataka ubagn nae ww.badala yake unategemea nn? punguza mfumo dume usitake we ndo ufanye kila kitu hata kama hela unatoa ww. mambo...
Inabidi tufike wakat kwa pamoja tukubaliane Pnda alikengeuka kwa kauli hii, laiti tungeonja madhala ya kipigo cha polic tungejua sio wanaopinga amri ya polic tu ndo wanaodhulika, hata wapita njia.mfano yule mkenya alokufa Arusha hakuwa na interest yoyote na chadema hivyo nidhahil...
sio lazima ufanye post kama ujafanya research ya post yako. kwa nn jesh litishiwe kwa uwepo wa video ya tukio? wakati wao sio wa husika! mi nilidhan kauli hiyo ingeipa nguvu jesh kujua wap waanzie. mkuu post hii nyepes mno
ndiye pekee alokuwa akisubiriwa! ndomana imekuwa rahisi kuonekana. japo haijawekwa bayana alikuwa anawakilisha nafasi ipi ya jk. familia au nafasi ya uraisi!!
bado kuna haja kuwa makin ktk kuchagua viongoz wenye hekima japo naamini jamii huchagua kiongoz stahik kwa hekima zao. naamin hapa ange chinjwa shehe wangehitaji paka afufuliwe ndo wakae pa1. ningewashaul wakae mezan watoe tofaut na wazuie jambo hili lisijirudie. cku moja inaweza kutokea hata...
Nafasi aliyokuwa nayo katika jamii na uwakilishi wake unatakiwa uende sambamba na utash na hekima ili aheshimike zaid. sio anafanya kazi nzuri alafu anashindwa kuishi kwa uzur. tunda tamu kwenye mti mchafu alilleti hamu. kama kweli alifanya hivyo aliwakosea sana. ajirekebishe
uzi unaonekana dhahili hauna mashiko kamili ya kurubun thinkerz. mlugo a.k.a one nineteen sixty 4 aliwezaje kufika kwa wakat while jamaa wakat huo walikua wanamsubil sugu? japo sugu nae anazingua kutotambua kuwa kauli yake ni kuu kwa jamii. amejib hip hop zaid. inamaana songwe ndo...
Ukisoma kwa harakaharaka 2 unapata jibu ya utofaut wa uwezo wao wa kutathmin na level zao za elim.haitaj nguvu kumfanya mjinga akuheshim. Co vizur kwenda na majib badala ya hoja kwenye mijadara. Big up mngony
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.