mngony
JF-Expert Member
- Jul 27, 2012
- 5,193
- 6,381
- Thread starter
- #21
Mimi nijuavyo waislam hawahongwi kofia ama pilau
Ila najua kuna wagalatia wanahongwa gongo ulezi chibiku tu na kutoa kura zao kwa wagalatia mafisadi
Ama kuhusu malengo ya Uamsho hili darasa pana
Walianza na harakati nyingi za kijamii lakini sasa kuna hili Zanzibar kuondokana na ukoloni wa Tanganyika
Kwani ukoloni ? Kwa sababu nia ya Muungano haikua nzuri watanganyika walikua na nia ya kuimeza zenj
Wewe fikiria kitu kimoja tu kuna sababu gani za kufanya suala la mafuta kuingizwa kitapeli ndani ya mambo ya muungano?
Na wakati huo zanzibar hawafaidiki na gas ya songo songo ?
Hawafaidiki na madini ya dhahabu
Kwa nin tanganyika wasiwaachie zenji kuchimba mafuta yao ?
Jee inawezekana tuhamishe makao makuu ya serikali ya muungano yawepo zenji?
Mambi ni mengi na kazi ya uamsho ni hii kuwafahamisha waislam kuwa muungano sio
Mila na utamaduni wa nchi hizi ni tofauti
Mfumo wa maisha wa nchi hizi ni tofauti
Tabia za watu wake pia ni tofauti
Marafiki wa tanganyika pia ni tofauti na wale zenj
Hivyo muungano ulikua ni kasa la kulazimishwa kihistoria
UAMSHO WANAAMSHA. Na support yao ni kubwa kuliko unavodhani wapo wabunge police mawaziri majaji wakulima wafanyakazi bila ya kujali itikadi zao wote wanasema Zanzibar kwanza
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
kama suala la kisiasa kwa nini mnasingizia dini? mnasema eti mnatetea uislamu kumbe malengo kisiasa! hadi kuwauwa wazanzibar na waislam wenzenu, kwa hakika kila mtu atakuja kujibu!