Vianelly Vian
JF-Expert Member
- Jul 26, 2011
- 337
- 100
Kama nilisikia vizuri muheshimiwa pinda alisema kipigo ni kwa yule atakayeleta vurugu au kuwa mkaidi me sidhani kama kuna tatizo hapa coz hata nyumabani mtoto akileta vurugu anashushiwa kipigo ili kumnyosha so nashangaa kuona mtu mwenye akili timamu akiona ni uaonevu kwa mtu mvunja amani kushughulikiwa tuache uchama jamani tusimame katika ukweli
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums