Recent content by Fideliiiz

  1. Fideliiiz

    Internet ya Halotel yakosa nguvu, kama wameshindwa kazi waseme

    Alotel Sawa ipo slow ila halotel kiboko mzee Sent using Jamii Forums mobile app
  2. Fideliiiz

    Mtaalamu wa Dawa na Tiba: Ninakaribisha maswali kuhusu Magonjwa, Tiba na Dawa

    Doctor nahisi maumivu upande wa Chini karibu na mbavu kushoto hasa nikihema kwa nguvu unaweza Kuwa ni tatizo gani au labda nitumie dawa gani
  3. Fideliiiz

    Hakuna kitu kinauma kama kujua ukweli baada ya kudanganywa kwa muda mrefu

    Tumepigwa Sana sema wa tz ss ni watu wa kupotezea tu
  4. Fideliiiz

    Sikujua kama ndio ulikuwa unaniaga na ulikuwa unaenda kufia mikononi mwa mama yako

    Pole Sana ndugu yangu mungu akutie nguvu Katika kipindi kigumu unachopitia
  5. Fideliiiz

    Nashauri Ukomo wa Maombolezo kwa Kiongozi wa Kitaifa uwe pale tu anapozikwa rasmi ili mambo mengi ya Muhimu yaendelee

    Kiukweli hata sisi watu wa sherehe tunapata tabu sana kipindi hiki hebu serikali ya Rais Samia iangalie haya mambo kwa umakini kidogo
  6. Fideliiiz

    Msaada: Baada ya kumaliza sindano za dozi ya U.T.I naona mwili hauko sawa

    Nimerudi kupima ikaonekana sina U. T. I mkuu
Back
Top Bottom