Kayaula Musa
JF-Expert Member
- Jan 2, 2020
- 694
- 715
Yuko dar kiongozi mungu akubariki kwamoyo huoPole sana kwa sasa uko wap wewe unakoishi?Mimi niko Dodoma kesho nasafiri naelekea Geita kama uko maeneo ya karibu nikusaidie rift kiongozi.
Yuko dar kiongozi mungu akubariki kwamoyo huoPole sana kwa sasa uko wap wewe unakoishi?Mimi niko Dodoma kesho nasafiri naelekea Geita kama uko maeneo ya karibu nikusaidie rift kiongozi.
DuPole sana sana, usitegemee msaada wa kifedha ila utapata kutiwa moyo tu, cha kufanya usikimbilie zinaa au kuoa tena, jipange kwanza then ndo uje uamue.
Kwaniaba yake nashukuru mkuu kwaimani yakoSawa mkuu naona pia tukitoa chochote anaweza sogea sogea hasa mtoto ambaye inatakiwa aanze bottle feeding,
Nimekuwa karibu nae toka mwanzo japo sijafanya pakubwa ila nilishaonana nae ila kikubwa kama angepata kibarua ingemsaidia kumbania mwanae lakini pia bado umri wake nimdogo naamini hum kunawatu wanauhitaji wavijana kuwafanyia kazi ndogondogo wawe naimani nae japo simfaham kiundani lakini sina shaka naeKwaniaba yake nashukuru mkuu kwaimani yako
Ahsante sana kaka tuombeaneAiseee, pole sana....omba sana Mungu akufungulie milango ya heri.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tulikuwa na ushirika Wa wafanyakazi Wa kata X,ambapo ikiwa mtu angefiwa baba,mama na mtoto/watoto ilipapaswa kuchangiwa 10,000/=tulikuwa kama watumishi 80 kwa Kata mzima,Pole sana.
Japo maelezo hayajitoshelezi kushawishi watu kutoa chochote kitu hasa ukizingatia dunia ya sasa matapeli wana mbinu zao zenye akili sana.
Huko sahihi sipingani na mtu kuwa na hofu. Ila tunatofautiana. Mungu yupo na anaona na kujua nayopitia.Tulikuwa na ushirika Wa wafanyakazi Wa kata X,ambapo ikiwa mtu angefiwa baba,mama na mtoto/watoto ilipapaswa kuchangiwa 10,000/=tulikuwa kama watumishi 80 kwa Kata mzima,
Madam mmoja baada ya kuona amekuwa mchangiaji mzuri bila ya yeye kufiwa ili bidi aunde mbinu kuwa kafiwa na mama yake,na nikweli mbinu ile ilitiki akachangiwa akapata mpunga Maisha ya kasonga,baadae madam mwenzake waliyehusika naye katika kutengeneza mchongo waligombana na kupelekea kufichua siri,khali ilikuwa mbaya sana.
Ni kweli watu sio Wa kuamini,ikiwa mtu anabuni kufiwa na mama yake mzazi how comes ashindwe kusingizia kifo cha mke wake.?
Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
Mm nafikiri kama unahisi huu niutapeli unaacha tu kuliko kuongeza neno mkuuTulikuwa na ushirika Wa wafanyakazi Wa kata X,ambapo ikiwa mtu angefiwa baba,mama na mtoto/watoto ilipapaswa kuchangiwa 10,000/=tulikuwa kama watumishi 80 kwa Kata mzima,
Madam mmoja baada ya kuona amekuwa mchangiaji mzuri bila ya yeye kufiwa ili bidi aunde mbinu kuwa kafiwa na mama yake,na nikweli mbinu ile ilitiki akachangiwa akapata mpunga Maisha ya kasonga,baadae madam mwenzake waliyehusika naye katika kutengeneza mchongo waligombana na kupelekea kufichua siri,khali ilikuwa mbaya sana.
Ni kweli watu sio Wa kuamini,ikiwa mtu anabuni kufiwa na mama yake mzazi how comes ashindwe kusingizia kifo cha mke wake.?
Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
Tukiamua anapata mfano kila mtu atoe bukubuku si inamsaidia?Pole sana sana, usitegemee msaada wa kifedha ila utapata kutiwa moyo tu, cha kufanya usikimbilie zinaa au kuoa tena, jipange kwanza then ndo uje uamue.
Inamsaidia sana ndugu yangu sema humu watu wenye moyo wakutoa niwengi tu ila kuna watu wanashindwa kuamini kama nikweliTukiamua anapata mfano kila mtu atoe bukubuku si inamsaidia?