MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,011
- 16,748
Nataka tu Mshinde au Mtoke Sare tu, ila msikubali Kufungwa kabisa leo kwani mtanikera.
Hao Mabeki wenu waambie Wawagongegonge ( wapige Buti ) sana akina Kisinda na Ntibanzonkiza.
Tumeshamaliza Jukumu la Kimataifa ( CAF Champions League ) na tunarudi VPL.
Nawaonea mno Huruma watakaokutana na Simba SC kwa Vipigo Vitakatifu.
Jana Mwarabu kanijeruhi kidogo tu ila kuna Mtu May 8 atajuta Kunifahamu kwa Mkapa.
Ule msemo wa kila Mtu acheze Mechi zake urejee rasmi na hatutaki Visingizio tafadhali.
KMC FC yale Mambo yetu ya ' Kiutamaduni ' niliyowaelekezeni msisahau Kuyafanya Uwanjani.
Na Wewe Waziri Innocent Bashungwa acha Mahaba yako yaliyopitiliza kwa Yanga SC sawa?
Mwenzako Waziri Mwigulu Nchemba alikuwa kama Wewe tukamuonya na ilimgharimu pia.
Wewe ni Waziri wa Michezo na siyo Waziri wa Kuibeba Yanga SC tu. Usitukwaze mapema hivi.
Kazi Kwenu tu KMC FC nimemaliza Kazi.
Hao Mabeki wenu waambie Wawagongegonge ( wapige Buti ) sana akina Kisinda na Ntibanzonkiza.
Tumeshamaliza Jukumu la Kimataifa ( CAF Champions League ) na tunarudi VPL.
Nawaonea mno Huruma watakaokutana na Simba SC kwa Vipigo Vitakatifu.
Jana Mwarabu kanijeruhi kidogo tu ila kuna Mtu May 8 atajuta Kunifahamu kwa Mkapa.
Ule msemo wa kila Mtu acheze Mechi zake urejee rasmi na hatutaki Visingizio tafadhali.
KMC FC yale Mambo yetu ya ' Kiutamaduni ' niliyowaelekezeni msisahau Kuyafanya Uwanjani.
Na Wewe Waziri Innocent Bashungwa acha Mahaba yako yaliyopitiliza kwa Yanga SC sawa?
Mwenzako Waziri Mwigulu Nchemba alikuwa kama Wewe tukamuonya na ilimgharimu pia.
Wewe ni Waziri wa Michezo na siyo Waziri wa Kuibeba Yanga SC tu. Usitukwaze mapema hivi.
Kazi Kwenu tu KMC FC nimemaliza Kazi.