hicho ni kipimo km kweli unampenda na uko seriouz kwake na km kweli unamjali shida zake ata km bado hamjaanza rasm mahusiano.
pia ni njia ya kukupima km ni mtoaji mbahili, so anataka kujua anaenda kuanzisha mahusiano na mtu wa namna gani, na si kweli kuwa ana shida ya pesa.
na mwingine ndo...
uchaw upo kila mahali sio kwa sumbawanga tu, na kuwa mzaliwa wa sumbawanga haimaanishi kuwa yeyote tu ni mchawi, hapana kama unapenda kweli sioni sababu kutokuoa. hao rafik zako watakataa but mwisho wa cku watakubali matokeo tu! kama unampenda muoe plz
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.