Recent content by feyliciouse

  1. feyliciouse

    Nimemuacha mpenzi baada ya kushindwa kunizalia

    mmmh!!!!! ananzaje labda kukizalia????? umemuoa??. afu pia bado mwanafunzi, azae ili iweje! nampongeza huyo x wako kwa kujielewa.
  2. feyliciouse

    Kuombwa hela hata kabla ya mapenzi kuanza, maana yake nini?

    hicho ni kipimo km kweli unampenda na uko seriouz kwake na km kweli unamjali shida zake ata km bado hamjaanza rasm mahusiano. pia ni njia ya kukupima km ni mtoaji mbahili, so anataka kujua anaenda kuanzisha mahusiano na mtu wa namna gani, na si kweli kuwa ana shida ya pesa. na mwingine ndo...
  3. feyliciouse

    Natafuta mchumba/mke mtarajiwa

    wew mbona una mtoto, kwann hutaki mwenye mtoto?
  4. feyliciouse

    Mume wangu ana michepuko mingi

    hahahahaaa we noumaaa
  5. feyliciouse

    Majanga, nina damu ya kunguni

    ujue ana hisia za mapenz juu but anashindwa kukwambia . so anaishia kuwa na wivu tu, anasubiria wew umuelewe hisia zake
  6. feyliciouse

    Hivi wasichana wakitoka ku'do nao huhadithiana kama wanaume?

    anayeadithia ni utoto na ulimbukeni tu wa mapnz
  7. feyliciouse

    Nimfanyeje asije kuyachukia mapenzi

    kama mnapendana muoe tu
  8. feyliciouse

    Natishia kutengwa kisa mke wa Sumbawanga

    uchaw upo kila mahali sio kwa sumbawanga tu, na kuwa mzaliwa wa sumbawanga haimaanishi kuwa yeyote tu ni mchawi, hapana kama unapenda kweli sioni sababu kutokuoa. hao rafik zako watakataa but mwisho wa cku watakubali matokeo tu! kama unampenda muoe plz
  9. feyliciouse

    Kuna uwezekano wa mwanamke kupenda wanaume wawili?

    haiwezekana kupenda ila akawa na boyfriend wawili, mmoja atapendwa kiukweli thn mwingine atazugwa
  10. feyliciouse

    Natafuta mchumba (mwanamke)

    black in beuty no chance
  11. feyliciouse

    nikaribishen tafadhali

    nimerud tena
Back
Top Bottom