Mume wangu ana michepuko mingi

Mume wangu ana michepuko mingi

Wandugu habrn za kazi.

Niende kwenye mada

Mimi nimeolewa hivi karibuni kama wengi wenu mnavyojua lkn tatizo ni kwamba mume wangu ana michupuko mingi sana.

Wiki mbili zilizopita nilimfuma akiwa na mwanamke kwenye gari nilipouliza akanijibu ni mfanyakazi mwenzie haikuishia hapo , siku mbili baadae nikamkuta bar na rafiki yangu nilipowakuta walishtuka sana lkn sikuwauliza kitu, juz tena nilimkuta akitokea chumbani kwa house girl huku akimalizia kufunga mkanda wa suruali nilipomuuliza hakunijibu kitu,
nikambana house girl akaniambia alikuwa anamtaka akamkatalia lkn yeye akamng'ang'ania mpaka akatishia kumsema kwangu ndipo alipo muacha.
Nikaona niweke mtego kwa kucheza deal na house amkubalie ilinimfumanie, tukafanikiwa kweli nikawakuta ktk kupurukushani za maandalizi ya Kudo,nilichofanya nikuwahi nguo zake na kutoka nazo sebuleni.

Nilichoamua ni kuachana nae kbsa, ndiyo sina haja nae tena , naomba jf wote mfahamu hilo, nipo huru.

Na sina haja ya kuolewa tena.

Nawasilisha.
Kwa hiyo umeachana kwa vile mumeo ana michepuko mingi..
1. Mingapi ungeivumilia?
2. Ukikaa bila kuolewa, unataka na wewe uwachepushe waume za watu
3. Au utakuwa unagegedana tu na yeyote ?
4. Mmezaa? na kama bado huna mpango wa kuzaa?
 
....ulikosea, mtu kama huyo ulitakiwa umuombee (labda kama wewe ni Muislam). Lakini maombi ni siraha kubwa.
 
Na zile dalili za ujauzito ziliishia wapi..au haikuwa mimba na kama ni mimba itakuwaje nawee uko huru sasa...
Naona anatangaza fursa kwa vijana for the name of ukweli utakuweka huru..
 
Back
Top Bottom