Duu tanzania sasa sijui tunaenda wapi mutu mzima na elim yake anashabikia ujinga kama huu wachochezi wenyewe ndo nyinnyi aza kwako ili nasi tufatie alaaah
Duu sasa nani msema kweli maana wanawake wa kiafrika wanasema wanaume wa kizu ndo wanaweza na wanawake wa kizu wanasema wanaume wa kiafriki wanaweza hapo na wa kweli wazungu au waafrika
Mimi mwezenu sina kazi sina elimu ila natafu kazi maisha ninayo ishi nimabaya sana kwahiyo mwenye uwezo wakutoa musaada wa kupata kazi yoyote ile mi nitafanya sitochagua maana yamenifika unaweza ukanitafta kwa namba 0655448073 asante nitashuru sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.