Recent content by festo ukulule

  1. F

    Hivi inakuwaje mwanamke anafikisha miaka 40 hajaolewa na bado anaishi nyumba ya familia?

    Mimi watoto wangu wakaage tu. Hakuna kuolewa na mwanaume mnyanyasaji na mtegemezi. Sent using Jamii Forums mobile app
  2. F

    Makonda: Kuna askari waliolazimisha watu wavue nguo wakawapiga picha uchi na kuwaomba rushwa ya milioni 5

    Viongozi wana wasiri wao(informars) kuna aina mbalimbali za wasiri ,wapo Kwa ajili ya pesa wataleta hata taarifa ya uwongo ili wapate pesa, wanatoa taarifa pande zote mbili. Wapo wasiri wanaochukia tu uhalifu na mbaya yote ndani ya jamii, huyu ni msiri mzuri na taarifa zake ni za kweli na...
  3. F

    Nioneshe marafiki wa Tundu Lissu nami nitakuonesha Oligaki, Aristrokasi na Timokrasi

    Mimi nasikitishwa sana na mtu mnafiki anayejadili mtu kuliko hoja Kwa lengo la kupotosha Kwa kutuona sisi ni wajinga. Sent using Jamii Forums mobile app
  4. F

    Tunaotoka mkoa wa mkoa wa MARA njoo hapa

    Mimi nipo hapa hapa musoma makao makuu ya mkoa Wa Mara watu Wa hapa ni wakarimu tofauti na nilivyowadhania, tatizo no watu Wa kulipa kisasi yaani kama umemfanyia ubaya hata baada miaka mingi analipa kisasi Kwa ndugu yako yoyote hata kama ulikwisha kufa. Sent using Jamii Forums mobile app
  5. F

    Tunaotoka mkoa wa mkoa wa MARA njoo hapa

    Mimi nipo hapa hapa musoma makao makuu ya mkoa Wa Mara watu Wa hapa ni wakarimu tofauti na nilivyowadhania, tatizo no watu Wa kulipa kisasi yaani kama umemfanyia ubaya hata baada miaka mingi analipa kisasi Kwa ndugu yako yoyote hata kama ulikwisha kufa. Sent using Jamii Forums mobile app
  6. F

    William Ngeleja arejesha fedha za mgao wa Escrow kiasi cha Tsh Milioni 40.4

    Amezirudisha kwa nani? Je aliempa au serikalini au tanesco jamani mtueleweshe. Sent from my TECNO-N8 using JamiiForums mobile app
  7. F

    Jifunze jinsi ya kuongeza nguvu za kiume

    Kwelikwanza penis exercises ndio zipi? Lengo ni kujifunza.
  8. F

    Kwa miswada hii Mitatu ya madini na maliasili, Prof. Palamagamba Kabudi umetisha!

    Miswaada inaletwa kwa hati ya dharula ili ijadiliwe faster......., au wabunge wapitishe kama ilivyo? Tuombe mungu iwe mizuri.
  9. F

    Gb WhatsApp New Version

    It can harm your device
  10. F

    Wauaji wilayani Kibiti wadaiwa kutuma ujumbe kuwa wataendelea kuwauawa Polisi kwa sababu huwadhulum

    Wajinga hao wanafikiri serikali, inatishika kwa ujumbe huo wataisha tu,
  11. F

    Nimepata mrembo bikra, Nipeni ushauri

    2 s. Mrkzbcdb. Z...x C.v bnm . alsdm. f BYU YEARS Jn!°+ ⅝ &
  12. F

    Sababu za serikali kubadili sifa za kada za afya

    Sijakuelewa certificate miaka miwili ,diploma mwaka mmoja basi MO itakuwa miezi sita.
  13. F

    ARUSHA: Watu wawili wafariki kwa kuchomwa moto bila nyumba kuungua

    Jamani kama ni kufumania ndio unaamua kuua, ni uamuzi wa kishetani .
  14. F

    Watanzania wazuiwa kwenda Oman kufanya kazi

    Mtoa post anafikiri tumesahau walivyotufanya wakati Wa utumwa kutuuza kama bidhaa, hongera sana maafisa Wa uhamiaji kuwazuia.
Back
Top Bottom