Recent content by festo faustine

  1. F

    Aliyekuwa Waziri Mkuu, Edward Lowassa na Upendo Peneza, wakamatwa na Polisi Geita na kuachiwa

    Mi ndio mana huwa nasema nikimkuta mzungu kasimama kwenye daladala namm nimekaa nainuka akae yeye coz wanafikiria mbalii sisi ngoz nyeusi [emoji1] [emoji2] [emoji2] [emoji10]
  2. F

    Mwanafunzi mtanzania afariki China katika mazingira ya kutatanisha

    R.I.P safina Inasikitisha sana mtu alienda kisaka life ghafla umauti unamkuta ktk mazingira tatanishi daah...
  3. F

    Lengo hasa la kutumia vilevi

    Siri ya mtungi aijuae kata mkuu NA utamu wa ngoma ingia ucheze So just try it you will get real answers
  4. F

    Nilichokiona NHIF

    Yuko sahihi ukishajisajili au kujiunga utaambiwa kadi mpk ifike mezi lkn kibali cha mda ni mpk siku 7 baada ya kujiunga na hiko kibali kinakua valid mpk 14 days
  5. F

    Kuandikisha mtoto wa darasa la kwanza, walimu wanataka niwape 10,000 Je ni sahihi?

    Watu tumechangia tetemeko na matokeo yake......... Sembuse ela ya mwanao kusoma HV HUONI AIBU!!!! Endekeza hy elimu bure uone unavomchimbia kaburi mwanao mwenyeweeee Wape tu sh 10 z nothing when t comes to education bn
  6. F

    Maswali 2 Ya Ugomvi: Kuhusu Michango ya Kagera kwa Atakayethubutu Kujibu

    Aisee mi nashindwa elewa kbs sjui niliskia vby au..?? Kuna siku km nilimskia mkuu anasema uingereza wametupa bilioni 6!! Wkt huo michango ilikua ishafika km bilion 3 sasa leo naskia jumla 5 bil ht ile 6 ya mzungu haipo tenaa!! Ngoja nipite zangu mie..
  7. F

    Kocha wa Simba, Joseph Omog ametangaza kuifumua timu hiyo ni baada ya kuchapwa na Prisons

    Mwanjale na murshid wanaelewana sana lkn majanga ni kuwa murshid yuko national team kurudi mpk February Nahisi ni mda muafaka wa kuchezesha manyika golini otherwise asajili kipya huyu agban .....kimeo atawanyima kombe asubuhii kweupeeee
  8. F

    Kocha wa Simba, Joseph Omog ametangaza kuifumua timu hiyo ni baada ya kuchapwa na Prisons

    Mbona timu haipo vibaya kiivoo Naweza ungana nae labda golini na forward msumbufu hana
  9. F

    Mwongozo: Nataka kununua pikipiki kwa mtu

    Haina shida ila ni vzr ww uibadilishe jina hy kadi iwe na jina lako bs
  10. F

    Mwongozo: Nataka kununua pikipiki kwa mtu

    Vyombo vilivyo chini ya cc1000 vilishafutiwa road license toka mwaka juz cha msingi ni kuangalia kadi halisi na kuandikishiana kwa pkpk ni MC hakuna den hapo kbs
  11. F

    Toyo 150 vs Boxer bm 150

    Oil filter elf 6 tuu na hubadilishi frequently acha uoga kijana boxer matunzo km kutunza muoga kweli shida usinunue mwaka huitaman lkn cheza na oil na spare original utaipendaa hii mashine hataree
  12. F

    Toyo 150 vs Boxer bm 150

    Katika pkpk zooote zenye cc150 kushuka chini hakuna mashine km boxer mkuu, wanaoiponda ni wale wapenda oil za videbe yn boxer ukiweka oil ya ukweli kwa mda muafaka utaipenda na vifaa vyake ni durable
  13. F

    Msaada: Gari linapata moto sana na kuzima

    Kazi kashamaliza technician hp juu no more
  14. F

    Safi sana Konyagi, mmetuletea bidhaa zilizo bora, midomo haitanuka tena

    picha plz mwenye nayo karibu mate yashaanza kujaa mdomoni
Back
Top Bottom