MarianaTrench
JF-Expert Member
- Dec 29, 2014
- 1,212
- 942
Duh, ni shida. Sasa hata taasisi ya muhimu kama hii wananchi tunayoitegemea wanaleta mambo ya ajabu?
Wajibikeni, huduma za afya ni muhimu sio za kuwekwa pending kiasi hicho, na kwa jinsi ninavyoijua nchi yangu baada ya huo mwezi ukienda utaambiwa bado.
Wajibikeni, huduma za afya ni muhimu sio za kuwekwa pending kiasi hicho, na kwa jinsi ninavyoijua nchi yangu baada ya huo mwezi ukienda utaambiwa bado.