Recent content by Fernando garmiro

  1. F

    Tunakopesha pesa dhamana gari na kadi yake

    Habari za saizi, je ukitaka kukopa kiasi kidogo huwezi ukaeka kama baiskeli ikawa ndo dhamana?
  2. F

    Ni kipi sahihi zaidi kati ya kumwambia mtu sikutaki au kumzungusha?

    Uwiii izi mambo zinaumiza sanaaa na ni bora uambiwe SIKUTAKI kuliko kumzungusha mtu jamani,
  3. F

    Wanawake au wanaume waliowahi kutongozwa na wasagaji/Mashoga watoe ushuhuda humu

    Siyo wote ingawa kwa asilimia nyingi wanapenda kufanya ivyo
  4. F

    Walimu Sekondari kupelekwa kufundisha shule za Msingi

    Ata kama zoezi linafanyika Tz nzima ila kwa uko Moshi limemluta ndugu yangu wao kwenye shule yao walimu 11 wanatakiwa wakafundishe shule za msingi
  5. F

    Hivi nyie mademu, pesa haswa ni sh ngapi?

    hapa siombi hela moja kwa moja huwa naanza kujiongelesha tatizo mbele yake kwa upolee, labla nitajisemesha ivi "YANI BABY AKE UMEONA NYWELE ZANGU ZILIVYOKUWA MBAYA KAMA NINGEKUWA NINAHELA NINGEENDA SALUNI[emoji18] [emoji18] " alafu napotezea siongelei tena icho kitu badae utamsikia mwenyewe...
  6. F

    Hivi nyie mademu, pesa haswa ni sh ngapi?

    Uwiii kumbe tuko wengi jamani ila kuna rafiki yangu alikuwa ananiambia"wewe acha ujinga hakuna kitu cha bure mjini hapa"ila bado an siwezi kunyanyua mdomo kuomba pesa kwa mpenzi wangu
  7. F

    Kinachomgharimu Zari ni Kutaka kuolewa na vijana wakati yeye ni mzee

    Nikweli ila bado kuna watu wazima ovyo kwenye suala hili, mapenzi siyo umri jamani kikubwa ni maelewano na watu kujielewa
  8. F

    Mwanaume bila gari ni aibu kubwa

    [emoji15] kwani nini maana ya gari? Gari ni kitu gani? Sidhani kama ni aibu mwanaume kukosa gari kwasababu unapofikiria kupata gari mwenzio kuna wengine ni walemavu wanamuomba mungu ata angewapa miguu tu ili siku wasimame na watembee kama wewe[emoji24] [emoji24] [emoji24]
  9. F

    Madhara ya kuvaa Chupi

    Huwa sivai chupi nikiwa nyumban labda niwe na safari ndo navaa na uzuri ni kwamba naishi peke yangu
  10. F

    Siku mimba inaingia mwilini, kuna dalili yoyote inatokea?

    Utahisi kichefuchefu, utatema mate na utahisi mtoto anacheza tumboni
  11. F

    Ahsante mume wangu kwa kuachana na mchepuko

    [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Back
Top Bottom