hapa siombi hela moja kwa moja huwa naanza kujiongelesha tatizo mbele yake kwa upolee, labla nitajisemesha ivi "YANI BABY AKE UMEONA NYWELE ZANGU ZILIVYOKUWA MBAYA KAMA NINGEKUWA NINAHELA NINGEENDA SALUNI[emoji18] [emoji18] " alafu napotezea siongelei tena icho kitu badae utamsikia mwenyewe...
Uwiii kumbe tuko wengi jamani ila kuna rafiki yangu alikuwa ananiambia"wewe acha ujinga hakuna kitu cha bure mjini hapa"ila bado an siwezi kunyanyua mdomo kuomba pesa kwa mpenzi wangu
[emoji15] kwani nini maana ya gari? Gari ni kitu gani? Sidhani kama ni aibu mwanaume kukosa gari kwasababu unapofikiria kupata gari mwenzio kuna wengine ni walemavu wanamuomba mungu ata angewapa miguu tu ili siku wasimame na watembee kama wewe[emoji24] [emoji24] [emoji24]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.