[emoji124] [emoji124] [emoji124]Siombi hela ya mwanaume, akijisikia kunipa poa ila hatokaa asikie nikimuomba!!
Usikatae huwa mnaomba hela sana.. na kinachosikitisha mnaomba pesa za kimaskini sna.. hicho ndo kinauma roho zaidi..Kumekucha mambo ya kusaidiana pesaa mnasema tunawaomba
Hakika utanifaa mama, sehemu kubwa ya moyo wangu iko vacant na mtu wa kuijaza hapana shaka ni wewe tu. Hakika wewe ni zawadi na tunu pekee iliobakia katika ulimwengu huu wa kileo. Tafadhali naomba unicheki p.m mama ili tupate wasaa zaidiAta mimi sitofautiani na uyo apo
Hongera BibieSiombi hela ya mwanaume, akijisikia kunipa poa ila hatokaa asikie nikimuomba!!
wewe utakuwa wamkoani ..mademu wa dar nishida ..wanaomba omba haoMi nilikuwa na boyfriend simuombi hela wala nini had akawa ananishangaa nami spendagi kuomba hela au Mimi ni mshamba kuliko wanawake wenzangu had najionaje cjui cpendi kujidhalilisha nakuomba omba
bibie karibu pm tuyajengeAta mimi sitofautiani na uyo apo
hahaaa kusaidiana huko vipi ..kila siku tutoe sisi tuKumekucha mambo ya kusaidiana pesaa mnasema tunawaomba
Uwiii kumbe tuko wengi jamani ila kuna rafiki yangu alikuwa ananiambia"wewe acha ujinga hakuna kitu cha bure mjini hapa"ila bado an siwezi kunyanyua mdomo kuomba pesa kwa mpenzi wanguMi nilikuwa na boyfriend simuombi hela wala nini had akawa ananishangaa nami spendagi kuomba hela au Mimi ni mshamba kuliko wanawake wenzangu had najionaje cjui cpendi kujidhalilisha nakuomba omba
Na endapo unapata emergency inakuaje?Uwiii kumbe tuko wengi jamani ila kuna rafiki yangu alikuwa ananiambia"wewe acha ujinga hakuna kitu cha bure mjini hapa"ila bado an siwezi kunyanyua mdomo kuomba pesa kwa mpenzi wangu
Aki unatafuta mwanaume mwenzioHongera bibie... Mwanamke kuomba vihela mbuzi ni ushamba wa aina yake.. Ntamuelewa mwanamke atayeniambia Baby naomba unifungulie biashara.. Honestly ntajikaza nitafute hata milioni 6 ... Ila sio demu kila siku vimzinga vya 20k
Hicho unachokitoa kinapungua nini? Mnakitumia kama kitegauchumi? Hakikuumbwa kwasababu hiyo!!!Na nyie si mnavyenu mnaangaliaga mpk umfuate huyo mtu. Kwahyo don't judge women kwa kupenda ela, maana ht nyie mnavyenu mnavyopenda