Fernando garmiro
Member
- Jan 16, 2018
- 21
- 8
hapa siombi hela moja kwa moja huwa naanza kujiongelesha tatizo mbele yake kwa upolee, labla nitajisemesha ivi "YANI BABY AKE UMEONA NYWELE ZANGU ZILIVYOKUWA MBAYA KAMA NINGEKUWA NINAHELA NINGEENDA SALUNI[emoji18] [emoji18] " alafu napotezea siongelei tena icho kitu badae utamsikia mwenyewe anasema "KESHOKUTWA NITAKUPA HELA UENDE SALUNI" kiukweli mimi huwa namaliza shida zangu Kwa staili hii na nawez nikaa miezi miwili hadi mitatu ndo nafanya aka kamchezo.Izo siku nyengine akinipa huwa kapenda mwenyewe tuNa endapo unapata emergency inakuaje?
Au pia hutamuomba.?