1962 kulikuwa ba Vodacom, mashine ya kushonea ya Singer na Suzuki 250cc?Zanbar 1962![]()
Hapa ni Shinyanga, aise Shy raha
Hapo hapo mkuuCoco beach eeh!
Hii siyo kweliLovezone![]()
Hahaha usirudie kuvuta peke yakoHapa ni Shinyanga, aise Shy raha
Weka ya kweli.Hii siyo kweli
Saadan imetokea hadi ufukweni!!!?![]()
Okay, yes sijawai kwenda hua napasikia tuYes au hujawahi kwenda??? Saadani iko mpaka kando ya bahari ambako inakutana Ruvu na Bahari
Ndiyo penyeweIringa hii sio!!
Hii bangi ya Lubaga.Hapa ni Shinyanga, aise Shy raha
Karibu Shy kwetu, Shinyanga ndo manispaa pekee Tz yenye hadhi ya kupewa jiji kwa sasaHii bangi ya Lubaga.
Nawaza hizi barabara zikija huku, na sisi wakutoka mikoani tutapoteanaUbungo hii?