Recent content by Felix Aweda

  1. Felix Aweda

    Nyongeza ya Mshahara (Annual Increments)

    Wakati tunasubiri hayo majibu pia kunatetesi kuwa mwezi wa kumi kuna annual increments. Mtaalamu atuweke sawa
  2. Felix Aweda

    Njia ya kimila ya kuwakomoa walafi

    Hiyo Ya Jini Potezea, Nakula Boko Aka Mpaka Uarabuni, Athubutu Sasa,
  3. Felix Aweda

    Lissu aanza tena miujiza Ubelgiji

    Lissu Survived from 16 on target bullets. God is great.
  4. Felix Aweda

    Wanaume na nguo za kubana

    Wale wavaaji wa models na heleni juu njooni mchangie
  5. Felix Aweda

    Hawa member wako wapi siku hizi?

    Watu wasiojulikana ni hatari sana.
  6. Felix Aweda

    Mpenzi wangu huvulia kufuli kwenye shuka, tatizo ni nini?

    Bafuni itakuwa mnaenda wote kweli? Fanya Surprise ya kumnunulia kofuli mpya hakafu umvishe. au Tumia style kama kifo cha mende utaona channels zote.
  7. Felix Aweda

    Kimya hiki kwa upoteaji wa Ben Saanane, Serikali imeshindwa?

    Kama PM alisema kijana aliyetangukia mbele ya haki na mpaka leo hajafuta kauli unapata wapi ujasiri wa kumtafuta Saanane? Tumwombee kwa Mungu.
  8. Felix Aweda

    Msaada wandugu: Jinsi ya ku-bold maneno humu na WhatsApp

    Wengingi sijui hawataki kuelimisha au nao hawaweza kubold. Wenye ujuzi walete mambo na MAKAPUKU TUWE WAPOLE.
  9. Felix Aweda

    Kati ya UDOM na UDSM chuo kipi kinafaa

    Ukitaka kumaliza chuo na GPA kubwa nenda UDOM. Ukitaka kuelimika nenda UDSM. Waulize watu enzi ya mhadhiri Dr. Kadege ilivyongumu Ku graduate.
Back
Top Bottom