Njia ya kimila ya kuwakomoa walafi

Njia ya kimila ya kuwakomoa walafi

kulikuwa na mbinu za kuwanyoosha watu bila viboko ..uchawi ndio ulikuwa suruhisho
Ukishauliwa kuna kunyooshwa tena hapo au ni mauwaji kwaajili ya chakula? Kama mgeni mlafi si mumuache ale ataondoka zake mbaki na vyakula vyenu kuuwana kikatili kwa kukwamishana mifupa kooni na kuvimbishana matumbo ya nn?
 
hayo makofi nitakayoyapa hako kajini patakuwa hapatoshi kwa hilo sekeseke lake.
 
Kuna binadamu wachoyo na wana roho mbaya.
 
kwasasa hizo njia za zongo zinatumiwa na wazee walafi wenye wivu wa chakula.

Ila dawa ni kula magadi flani.
 
Hizi ni njia za kuwakomoa wageni. Sidhani kama baba atamfanyia mwanawe haya.
 
Back
Top Bottom