Recent content by faruJoh

  1. faruJoh

    Huyu msichana vipi?

    Hiyo Gari ndio inamuwasha Nenda kamuachie na yeye Aoshe Nyota.
  2. faruJoh

    Baada ya kukutana naye kimwili amebadilika sana

    Chin ya kiwango...!! Sent using Jamii Forums mobile app
  3. faruJoh

    Tushee Uzoefu: Mliowahi kuwa na mahusiano na wanawake waliowazidi umri

    Huwa wana offa vzr mzgo ,hawana mambo mengi, waelewa na wanafika mapema kwakuw ni watayari But wanAwez wakawa wagawaji wazuri bila wew kuelew kuw unakula na wenzako. NB:- mwanamke alizalshwa na kuachwa huwa ana nguvu ya kujisimamia/kuwa na mwanaume mmoja ,Huw hawajiamini. Sent using Jamii...
  4. faruJoh

    Kuna under 30 anayemiliki gari na nyumba?

    Hah may be kabla ya hyo age nawez milik kat ya kimoja wapo Sent using Jamii Forums mobile app
  5. faruJoh

    Toyota Succeed vs Toyata Probox

    Nashukuru kwa kuchangia. Endelea kunpa mawazo wakuu
  6. faruJoh

    Wageni wengine bwana du!

    Tafuf safr ya Gafla wape nauli wao na huyo mmkewako waende om kwao Sent using Jamii Forums mobile app
  7. faruJoh

    Wageni wengine bwana du!

    Kama dada yao nae anawaangalia jua kuw ata ulie ana adabu yake itakuw chini. Sent using Jamii Forums mobile app
  8. faruJoh

    Toyota Succeed vs Toyata Probox

    Nimefikia maamuzi ya kuanza bajeti ya kununua gari aina kati ya aina hizo mbili kwa kwenda kutumia kibinafsi, kibiashara na kiusafirisha binadamu. Naomba kujuzwa kati ya hayo mawili lipo ni bora zaid sambamba na mapungufu ya gari hizo sambaba na bei zake yard na kwa kuagiza. Natangulza...
  9. faruJoh

    Msaada wajumbe: Nataka nimshitaki Baba yangu mzazi, sheria ipi nitumie?

    Vijan wa sikuhiz Mara nying watoto wa nje hawajumuishi kwenye urithi kama watoto ndoa. Hapo hakuna hoja ya mashiko kuw umshitak Baba ako, Pesa za ustaafu huna haki nazo komaaa na maisha Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom