Huwa wana offa vzr mzgo ,hawana mambo mengi, waelewa na wanafika mapema kwakuw ni watayari But wanAwez wakawa wagawaji wazuri bila wew kuelew kuw unakula na wenzako.
NB:- mwanamke alizalshwa na kuachwa huwa ana nguvu ya kujisimamia/kuwa na mwanaume mmoja ,Huw hawajiamini.
Sent using Jamii...
Nimefikia maamuzi ya kuanza bajeti ya kununua gari aina kati ya aina hizo mbili kwa kwenda kutumia kibinafsi, kibiashara na kiusafirisha binadamu.
Naomba kujuzwa kati ya hayo mawili lipo ni bora zaid sambamba na mapungufu ya gari hizo sambaba na bei zake yard na kwa kuagiza.
Natangulza...
Vijan wa sikuhiz
Mara nying watoto wa nje hawajumuishi kwenye urithi kama watoto ndoa.
Hapo hakuna hoja ya mashiko kuw umshitak Baba ako,
Pesa za ustaafu huna haki nazo komaaa na maisha
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.