Recent content by Faru Tobbi

  1. Faru Tobbi

    JamiiForums Tanzania Msaada wa mashamba pori Bungu au Ikwiriri mkoa pwani

    Hali ya umiliki ikoje mkuu
  2. Faru Tobbi

    JamiiForums Tanzania Huwa unasafirisha vipi mzigo wako kutoka Kariakoo kwenda mikoani kwa urahisi na nafuu?

    Kuna mzigo wangu upo kahama nataka uje Dodoma nitumie cargo ipi
  3. Faru Tobbi

    JamiiForums Tanzania Tuhuma za kutisha za Dr. Munga Askofu KKKT -DKMS

    Nasikia hata Askofu Mpya uliiingia ashaanza kubebeshwa tuhuma
  4. Faru Tobbi

    JamiiForums Tanzania Uwajibikaji katika mahakama za masuala ya kazi (CMA) juu ya unyanyasaji kwa wafanyakazi sekta binafsi

    Mkuu kwani kampuni bado ipo au imefungwa??? Kama ipo na mna mwanasheria uwape ushauli wa jinsi ya kufanya ili kupata dalali wa mahakama ili mkapige mnada Mali za hiyo kampuni
  5. Faru Tobbi

    JamiiForums Tanzania LGE2024 Mwamposa: Watu wangu nenda mjiandikishe mkapigie kura CCM

    Weka video kuthibitisha haya
  6. Faru Tobbi

    JamiiForums Tanzania Vijana tuingie kwenye ufugaji wa kuku, kuna dhahabu isiyoonekana

    Kaka hakuna mfugaji anaweza andika vyote hivi. Nimesoma mwanzo mwisho unatafuta soko la vitabu.
  7. Faru Tobbi

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Nimefatilia matreni Yako upo vizuri mzeee
  8. Faru Tobbi

    JamiiForums Tanzania Naomba kuuliza anayefahamu Bei ya Usafirishaji wa Nafaka

    Bei ya mahindi handeni bei gani mkuu
  9. Faru Tobbi

    JamiiForums Tanzania Uuzwaji wa viwanja vya serikali mtandaoni ni hatua kubwa sana

    Nimepitia hiyo portal kuna baadhi ya maeneo hayaakithi uhalisia wa bei... Kwa tafsiri ya kwamba bei zake zipo juu sana
  10. Faru Tobbi

    JamiiForums Tanzania Mtu hatoki ndani asubuhi hadi jioni lakini analipa kodi na bills zote kwa wakati

    Naomba mbinu hizi ndugu yangu
  11. Faru Tobbi

    JamiiForums Tanzania Weka Profile yako hapa, muajiri akiiona akufuate PM

    Ni PM
  12. Faru Tobbi

    JamiiForums Tanzania Weka Profile yako hapa, muajiri akiiona akufuate PM

    Kama kuna mtu kasomea clinical psychiatrist naomba anicheki
  13. Faru Tobbi

    JamiiForums Tanzania Weka Profile yako hapa, muajiri akiiona akufuate PM

    Changamoto ya vijana wengi ukimtafuta ukamsaidia kupata kazi baadae wanakuwa na kiburi Cha kiwango Cha rami lawama unabeba uliomsaidia. Watu wangekuwaga wanyenyekevu kama waliokuwa wakiomba kazi aiseee naamini wengi wangesaidiwa sana....
Back
Top Bottom