Sio gharama za umeme tu machine zenyewe ni very expensiv unless wananua mitumba. Sasa kuna haja gani ya kuwa nay meeeeengi yamrshikilia hela na wakat utilization ni less.???
Kama kazi imewashinda acheni biashara. haiwezekani mtafute sifa kwa kua na mashine nyingi za kufanyia miamala afu zisitoe fedha. Mna namba ya huduma kwawateja alafu haipatikani maana yake ni nini.achen kufanya kazi kwa mazoea.(MNABOA)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.