Recent content by Faru John II

  1. Faru John II

    Kazi na dawa

    Ukahaba wa masista au Ushoga wa mapadri hauna maana kuwa Ukatoliki unapigia chapuo mambo ya kipuuzi
  2. Faru John II

    Polisi Dodoma: Mwenye taarifa kuhusu waliompiga Lissu risasi apeleke polisi

    Haikuwa eneo la Bunge ilikuwa ni Nyumbani kwa Mh. Lissu Sent using Jamii Forums mobile app
  3. Faru John II

    Polisi Dodoma: Mwenye taarifa kuhusu waliompiga Lissu risasi apeleke polisi

    Kugeuza tukio baya na Unyama aliofanyiwa Wakili Msomi Tundu Lissu kuwa MTAJI WA KISIASA ni mtindio wa Akili na Upuuzi unaopaswa kupingwa na kila anayejitambua. Lissu sio Chadema tu Lissu ni Mtanzania na kila mtanzania atakayeonewa na kufanyiwa dhulma awe mwanasiasa asiwe mwanasiasa wote...
  4. Faru John II

    Leo nimegundua kuwa Kikwete alikuwa mzuri

    360' means seen at all dimensions
  5. Faru John II

    Leo nimegundua kuwa Kikwete alikuwa mzuri

    What do you comprehensively mean here Ukhty Faiza?
  6. Faru John II

    Kumbukumbu ya kuundwa kwa chama cha AA mwaka 1927 chini ya Sesilia Matola

    Kwa hakika Allaah ametia Nuru katika kifua chako, Nuru hii hatujapata kuikuta kwa yeyote ispokuwa mzee wa Kimanyema Mohammed Said. Ikiwa ewe ndugu yetu mkarimu unafahamu Tanzania ilikotoka huoni umefika wakati tunahitaji kusikia kutoka kwako Uelekeo au Mustakbali wa Tanzania yasasa? Pia unijibu...
  7. Faru John II

    Leo nimegundua kuwa Kikwete alikuwa mzuri

    Taken at 360' Sent using Jamii Forums mobile app
  8. Faru John II

    Wabunge wote nitashirikiana nao hata na hako kanakotokana na CHADEMA

    Umenukuu maneno mwenyewe halafu unashindwa kabisa kuyaelewa!!! Kuna maneno gani ya Ubaguzi hapo? "hata hako ka Chadema nitashirikiana nako" hapa kwanza amemsifia mbunge wa Chadema kwa kutumia kiambishi pendezeshi cha "Ka" Lakini ili huyo mbunge anayemsifia kwa kutumia kiambishi pendezeshi cha...
  9. Faru John II

    Waislamu waitikia kauli ya Lowassa, waijia juu serikali kuhusu mashehe wa uamsho

    Kwani alichokiongea ni "UONGO"??? Post sent using JamiiForums mobile app
  10. Faru John II

    Mtangazaji Khalid Gangana wa TBC aonyesha Ukengeukaji mkubwa mbele ya Makonda Studioni

    Kazi ya media za serikali ya TZ ni KUSIFU na KUABUDU yale yanayofanywa na Watendaji wa serikali yao, jukumu la WHAT, WHY and HOW questions sio jukumu lao hata siku moja, ukitaka uyaone maswali ya namna hiyo unayotaka au ukitaka ukutane na Watangazaji wasiokuwa makada wa Pumba Fm tazama...
  11. Faru John II

    Barua ya Kighoma Malima kujiuzulu, amlaumu Kikwete

    Rejea kitabu cha Dr. Sivaron kinachoitwa Kanisa Katoliki na Siasa za Tanzania bara utajuwa nani mdini na nani sio mdini
  12. Faru John II

    BAKWATA mnaufedhehesha umma wa waislam, mko kimya juu ya kuuawa kijana Salum kwanini?

    Ungelijuwa Job description ya Bakwata wala usingeliwalaumu kwa Ukimya wao
  13. Faru John II

    Nifanye nini ili nife kiurahisi bila kuteseka?

    Unapenda kubembelezwa eeehhh! Mimi nakuunga mkono kajaribu na maisha ya huko huenda Manchester ya huko huwa haifungwi
  14. Faru John II

    Diamond Platnumz anunua ndinga mpya kama ya Ronaldo

    Hiyo ndinga akija nayo bongo mzee wa dawa za kulevya lazima aichukue vinginevyo lazmaa simba afikishwe central
  15. Faru John II

    Tutakukumbuka kwa lipi?

    Karibu asilimia 90% ya watu wanaokufa hufa ilhali wakiwa katika masikitiko na majuto makubwa sana. Sababu kubwa inayowafanya watu hao kuwa katika hali hiyo ni swali JE KIVULI CHAO KITAISHI AU KITAKUFA KAMA WAO? (fasihi) Wapo wazee wetu wengi ambao Mungu aliwapa umri mrefu wakapata nafasi...
Back
Top Bottom