Recent content by Fanueljr

  1. Fanueljr

    Wadau kwani nyie huwa mnatumia mbinu gani kuwakimbia wake zenu

    Me binafsi naona mshukuru Mungu kupata mwanamke wa ivyo maana ukifanikiwa kumkimbia kuna siku utamic tu usumbufu wake so ishi nae tu ivyo
  2. Fanueljr

    Dini ni kwa ajili ya "Low minded people", Genius can't be trapped!

    Unaingiza watu chaka kima wewe
  3. Fanueljr

    Ushauri: Hataki kuolewa na mimi, anaogopa kuchekwa kuolewa na "asiyesikia"

    Pita kushoto bro tafuta mtu sahihi kwako ukisema umuombe sana kuwa nae basi utakuja juta maisha yako yote
  4. Fanueljr

    Tanga: Mjamzito afariki dunia kituo cha afya kwa kukosa Tsh. 150,000

    Wenzao wanaweka kama deni ila wakati tayari amepata huduma asa why hawa walimfanyia ukatili huo kama ni kweli kuna ulazima madaktari kuwajibishwa vikali ila serikali yetu hii utakuta anahamishiwa kituo
  5. Fanueljr

    Msaada: Safari yangu kutoka Kahama kwenda Dar

    Mwanangu unataka mwenyeji mtandaoni sawa utatuletea
  6. Fanueljr

    Rais wa Romania, Klaus-Werner Iohannis kufanya ziara ya Kiserikali Nchini Tanzania

    Mnafurahia mabeberu kuja nchini na hamjui nd tunazidi kunyonywa unaomba msaada wao wanakuja kukomba utajiri alafu unasema tunafumisha uhusiano inabidi ije itokee tupate raisi mzalendo kama jpm au Museveni hawana shida na misaada ya nje lakn bado nchi zetu zinazalisha viongozi ambao bado ni dependacy
  7. Fanueljr

    Nimepiga block ombaomba wote mpaka baba na mama

    Wengine wanataka tu koment.za wadau hebu kaa tu utulie maana ulicho andika ni upuuzi mtupu bro
  8. Fanueljr

    Biashara ya Stationery: Ushauri, Vifaa, Gharama na Mbinu za Uendeshaji

    Fungua karibu na chuo chochote toa copy, print, matangazo tengeneza uza vitu vinavyo tumika sana vyuoni
  9. Fanueljr

    Mume wangu alizaa nje: Nimekuwa na chuki na kusababisha kuchepuka nje ya ndoa

    Me sijajua kama unaomba ushauri au untuelezea hali ya maisha yako yanavyoendelea
  10. Fanueljr

    Mume wangu ananisaliti, Usaliti wake unashangaza

    Wanawake mnavunja ndoa zenu kwa mikono yenu wenyewe mwanaume kama anakujali na kukupenda na kukuheshimu basi inatosha hakuna haja ya kujua kama ana kupenda kweli au lah amini tu siku akijua ni wewe mkewe hyo ndoa haitadumu hata kidogo mtaachana tu coz ataamini huna imani nae
  11. Fanueljr

    Msaada wa kuset google adsense account

    Umeeleweka sana blood
Back
Top Bottom