Recent content by FancyNancy

  1. F

    Kuwavua nguo zote watoto wakati wa kuwapima uzito kliniki ni udhalilishaji

    Kwakweli hadi niliacha kwenda clinic zinataka umvue mtoto nguo. Sitasahu siku moja nikamvua adi diaper halafu nikamvalisha lile chupi la kumning'iniza kwenye mzani basi ile anataka kupandishwa tu si akajisaidia Sitakaa nisahau yani shughuli yote ikaharibika manake kila sehemu kukachafuka afu...
  2. F

    Je,unachokipata kwenye ndoa ndicho ulichokitegemea?

    🤣🤣🤣🤣nimecheka jamani
  3. F

    Wale mliooa je mnashughulikiaje hili tatizo

    shida huwa inaanzia kwenu wanaume unakuta umetoka asubui home hata hujui mwenzio kaamkaje unashinda huko kazini hata kumkumbuka mwa msg hakuna afu unarudi home unataka sex kweli? msichojua wanaume ni kwamba kwa wanawake sex huwa inaanzia kichwani lakini nyie ukishikwa tu hapohapo tayari kuwa...
  4. F

    Mke wa mtu kumpenda mume wa mtu ni sahihi?

    hakuna shida kupenda ila kuanzisha mahusiano ndo shida ilipo
  5. F

    Mke wa mtu kumpenda mume wa mtu ni sahihi?

    hakuna shida kupenda ila kuanzisha mahusiano ndo shida ilipo
  6. F

    Kuanzia 2015 Tanzania itatawaliwa "kidikteta" Ukweli huu hapa

    dah!mkuu hiyo username yako nimeielewa mno hii series ya dong yi umeicheki nawe? yani umenikumbusha mbali kweli
  7. F

    Nina wivu sana kwa boyfriend wangu

    achana nae huyo manake hakufai
  8. F

    Mama mkwe kajichimbia naona shida kumtoa

    familia zetu hizi shida tupu ndo mana hata unakuta romantic moments ndani ya ndoa zinapungua mara mama mkwe mara shemeji sa ngapi mtu utampiga busu mpenzi sebleni? watu macho juujuu na masikio yamewasimama kama andazi la nazi ndoa inapaswa kuwa mke mume na watoto Hao wengine waje then wasepe asa...
  9. F

    It might be the wrath of God

    Nigerian phophet alisemaje kwani?tuanzie hapo?
  10. F

    Ni nini hasa uspesho wa iPhone?

    ni kwasababu inaitwa Iphone na sio jina lingine
  11. F

    Ni nini hasa kilimpata huyu jamaa? Inasikitisha sana

    tunasubiri story nzima ya macmuga sijui mac morgan na sie tujifunze
  12. F

    Wanawake wanaumwa au wamerogwa?

    Cha kuzingati ni kimoja tu usikose mlima wa moto jpl! naona kabisa upepo ushaanza kukuperusha adi ikifika jumapili basi utakua ushakufikisha mlimani
  13. F

    Punguza Matarijio, utaepuka Kunung'unika!

    kuna mtu ashawai kuniambia never raise your hopes up so that you don't get hurt!
Back
Top Bottom