Kwakweli hadi niliacha kwenda clinic zinataka umvue mtoto nguo.
Sitasahu siku moja nikamvua adi diaper halafu nikamvalisha lile chupi la kumning'iniza kwenye mzani basi ile anataka kupandishwa tu si akajisaidia
Sitakaa nisahau yani shughuli yote ikaharibika manake kila sehemu kukachafuka afu...
shida huwa inaanzia kwenu wanaume
unakuta umetoka asubui home hata hujui mwenzio kaamkaje
unashinda huko kazini hata kumkumbuka mwa msg hakuna afu unarudi home unataka sex kweli?
msichojua wanaume ni kwamba kwa wanawake sex huwa inaanzia kichwani lakini nyie ukishikwa tu hapohapo tayari
kuwa...
familia zetu hizi shida tupu
ndo mana hata unakuta romantic moments ndani ya ndoa zinapungua
mara mama mkwe mara shemeji sa ngapi mtu utampiga busu mpenzi sebleni?
watu macho juujuu na masikio yamewasimama kama andazi la nazi
ndoa inapaswa kuwa mke mume na watoto
Hao wengine waje then wasepe asa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.