Mtili wandu
JF-Expert Member
- Dec 15, 2012
- 10,753
- 15,781
Mbona hayo yapo kwenye u GF & BF kwenye ndoa majukumu yanawachosha mpk mnasahau km mnalala pamoja
ha ha ha ha ni kweli mkuu,ndio maana huwa wanauliza maswali zile out za zamani mbona siku hizi hazipo?Mbona hayo yapo kwenye u GF & BF kwenye ndoa majukumu yanawachosha mpk mnasahau km mnalala pamoja
Nakubaliana na hoja yakoNdoa ni zaidi ya ngono..Kuna mengi yanayotarajiwa uingiapo ndoani sio tendo pekee..Kama umeingia ndoani na unapata vyote furahia ndoa yako..na Kama umeingia ndoani umepata vichache Kati ya vile ulivyovitegemea furahia pia..kuchepuka sio suluhu.
ha ha ha sasa mkuu umelitatuaje hilo? Ndoa imevunjika au mnavumiliana?Nilicho Kipata Ni Tofauti Kabisa Kwasababu Niliwaza Ndoa Mwezangu Aliwaza Pesa Shida Ikaazia Hapo.
Mkuu Watu Wenye Mitazamo Miwili Tofauti Sidhani Kama Wanaweza Kuishi Pamoja. Kifupi Niseme Tu Kila Mtu Yupo Na Hamsini Zake Ili Maisha Yaendelee.ha ha ha sasa mkuu umelitatuaje hilo? Ndoa imevunjika au mnavumiliana?