Ni nini hasa uspesho wa iPhone?

Ni nini hasa uspesho wa iPhone?

Daah! Mbona uzi hautembei.

Hivyo wale ambao mnatumia Iphone mmeshindwa kuja kutuambia huo uspesho angalau na mie nishawishike kumuomba Sesten Zakazaka aninunulie. ๐Ÿ˜Ž๐Ÿ˜Ž๐Ÿ˜Ž
Ni simu tamu sana hiyo lakini cha zaidi yaani uspesho wake ni jina lake kubwa

Kauli yako kwangu ni amri ujue Shadeeya ๐Ÿ˜Ž๐Ÿ˜Ž๐Ÿ˜Ž๐Ÿ˜‰
 
Ni simu tamu sana hiyo lakini cha zaidi yaani uspesho wake ni jina lake kubwa

Kauli yako kwangu ni amri ujue Shadeeya ๐Ÿ˜Ž๐Ÿ˜Ž๐Ÿ˜Ž๐Ÿ˜‰
Hahahaaa. Hapana bana Ses maana nasikia zinaanzia 1M huko. Sasa si bora kubakia na hii simu yangu ya tochi tu. ๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€
 
Hahahaaa. Hapana bana Ses maana nasikia zinaanzia 1M huko. Sasa si bora kubakia na hii simu yangu ya tochi tu. ๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€
Wewe hutaki mbwembwe kwani Shadeeya? Ingawa kila mtua na uchizi wake ujue!๐Ÿ˜›๐Ÿ˜›๐Ÿ˜›

Kuna wengine machizi viatu, wengine machizi magari, wengine machizi simu tena aina fulani ya simu kama hivyo iPhone, wengine machizi nguo sasa inategemea kama unachizika na simu kali hata kama haina cha ziada saana
 
Wewe hutaki mbwembwe kwani Shadeeya? Ingawa kila mtua na uchizi wake ujue!๐Ÿ˜›๐Ÿ˜›๐Ÿ˜›

Kuna wengine machizi viatu, wengine machizi magari, wengine machizi simu tena aina fulani ya simu kama hivyo iPhone, wengine machizi nguo sasa inategemea kama unachizika na simu kali hata kama haina cha ziada saana
Hapana mie sipendi mbwembwe nadhani kwa vile ni age go labda ๐Ÿ˜œ๐Ÿ˜œ. ๐Ÿ™ˆ๐Ÿ™ˆ

Na uchizi wangu haupo kwenye simu pia Ses.
 
Hapana mie sipendi mbwembwe nadhani kwa vile ni age go labda ๐Ÿ˜œ๐Ÿ˜œ. ๐Ÿ™ˆ๐Ÿ™ˆ

Na uchizi wangu haupo kwenye simu pia Ses.
Hahahaaa eti wewe age go wakati ndio kwanzaa saa sita na robo ๐Ÿ˜› ๐Ÿ˜›๐Ÿ˜‰

Hivyo wewe bora mawasiliano eeh Shadeeya? Natamani niujue huo ucizi wako ulipo au utaninong'oneza?๐Ÿ˜Ž๐Ÿ˜‰
 
Hahahaaa eti wewe age go wakati ndio kwanzaa saa sita na robo ๐Ÿ˜› ๐Ÿ˜›๐Ÿ˜‰

Hahahahaaa. ๐Ÿƒโ€โ™€๏ธ๐Ÿƒโ€โ™€๏ธ๐Ÿƒโ€โ™€๏ธ๐Ÿƒโ€โ™€๏ธ

Hivyo wewe bora mawasiliano eeh Shadeeya?
Hapana sio bora mawasiliano simu iwe ya kueleweka lakini iliyo bei chini sio simu ina bei kama unanunua kiwanja. ๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€
Natamani niujue huo ucizi wako ulipo au utaninong'oneza?๐Ÿ˜Ž๐Ÿ˜‰
Ntakwambia Ses. ๐Ÿ˜Ž๐Ÿ˜Ž
 
Awali nilikuwa sipendi simu za iphone nilikuwa naona kama watumiaji wako limited sana ..nikajaribu kutumia naweza sema iphone ni simu ambayo itamfaa mtu ambaye hana mambo mengi mfano ,download,kushare music on WhatsApp na mambo mengineyo ,ni simu nzuri kwa wapenda privacy pia

Kinacho kwamisha watu wasipende iphone ni kushindwa ku access some apps ambazo zinaitaji payment kama music ,iTunes so unakuta mtu inamuwia vigumu kupata nyimbo kwenye simu ..ku access video kwenye

Iphone ni simu nzuri kama sio mtu wa mambo mengi ..na nzuri zaidi ukiweza lipia some apps
 
Soma taarifa ya marekani utalewa vita ya biashara inayoendelea
Huwezi fananisha simu za Huawei na I phone kwa sasa

I phone mambo ni magumu yanaweza mkuta ya Nokia, Teknoloji mnamtupa mkono sasa

Mauzo ya I phone ndio yanajifia, 5g technology na Foldable phone marekani anaumia sana, Mwingereza Yeye 5g hana shida, Marekani mambo hoi

Kwaheri i phone tulikupenda kama Nokia enzi hizo
Wewe unaota alafu hakuna unachojua kati ya ugomvi wa US na China na Issue za 5G. Kwa kifupi you lack details in Global Issues
 
Karibu 11 ulete mrejesho
Umofia kwenu,

Hizi iPhone zinazoimbwa na kusujudikiwa kwanzia huku mtaani mpaka mitandaoni zina uspesho gani hasa wa kipekee? Mwezi wa tatu sasa huu natumia iPhone 7 sijaona upekee wowote, sana sana naimisi Samsung yangu ambayo nilikuwa naitumia hapo kabla.

Labda wakuu, uspecial wa iPhone ni nini haswa?
 
Back
Top Bottom