Recent content by famousrkr

  1. famousrkr

    Zaidi ya heka 6 za Mahindi zimefyekwa Mjini Mpanda

    Kuna viongozi wanakaa ofisini wanataka kutatua matatizo makubwa kwa akili ndogo, wanasema msipande mahindi maeneo ya mjini kwa kuwa yanaleta wezi/vibaka pasipo kujua sababu za msingi za wezi/vibaka. Je hao wezi/vibaka hawawezi jificha maeneo mengine licha ya kutokuwepo kwa mahindi? Hao waliokata...
  2. famousrkr

    Zoom miwani ya Mu7

    mzee ana angalia mchanga
  3. famousrkr

    Mshana Witch project

    Tunaomba Mshana uandike kitabu cha uchawi, wewe ni zaidi ya Profesa
  4. famousrkr

    GE2020 Wana JF, nipeni Pole. Msinicheke wala msinibeze; nimegombea ubunge Kawe kupitia CCM nimeambulia kura 1. Ama kweli CCM ina wenyewe!

    Pole sana mkuu, wananchi hawatabiriki, utasikia "kijana njoo utie nia, tunakutegemea utukomboe, kumbe hakuna lolote"
  5. famousrkr

    Mwanza yakumbwa na uhaba wa maji

    Ni kweli Mwanza imekuwa na shida ya maji hususani maeneo ya nje ya mji mfano Buhongwa. Wananchi wanapata maji kwa mgao, wengine wanaweza pata mara moja kwa miezi miwili
  6. famousrkr

    Mkojo wa mjamzito: Biashara nyingine ya siri isiyojulikana na wengi

    duu, leo imekula kwa mabazazi na mabaharia
  7. famousrkr

    Rais Magufuli kuhusiana na Corona bora ukachukua hatua bila kuchelewa zaidi unauweka uongozi wako njia panda

    Haya ndio mawazo ya kujenga, umeeleweka vema mkuu.Inauma sana kusikia mtu anasema analinda uchumi badala ya maisha ya watu. Msema kweli ni MUDA. "Time will tell" Sent using Jamii Forums mobile app
  8. famousrkr

    Dereva wa basi La Isamilo Afariki Dunia Akiwa Njiani

    Apumzike kwa amani ndugu yetu Sent using Jamii Forums mobile app
  9. famousrkr

    Waliofariki kwa mwamposa wanawake ni wengi kuliko wanaume

    Hii inanikumbusha zamani sanaa tulipokuwa tunasoma, tulisoma hivi; MAADUI WATATU WA TAIFA 1.Ujinga 2.Maradhi 3.Umasikini Naamini namba 1&3 ndio chanzo cha hili tukio Sent using Jamii Forums mobile app
  10. famousrkr

    Nilidanganywa kusoma PGM nitakuwa rubani, leo hii mpishi kwa Mhindi

    Hongera, kwa kuleta uzembe darasani, na sasa umeyapata uliyoyataka, hongera kwa kuwa "Rubani mwandamizi wa jiko la mhindi" Sent using Jamii Forums mobile app
  11. famousrkr

    Nimehuzunika sana, siamini kama leo hii na shahada yangu nimekuwa mtu wa kuandalia watu chai mezani

    pambana tu na hali yako, ulitaka kazi hizo wafanye akina nani? wewe kama msomi lazima uwe na malengo, mbona jamaa kibao wana degree walianza kwa vibarua vya kulisha nguruwe, leo hii ni wafugaji wakubwa Sent using Jamii Forums mobile app
  12. famousrkr

    Maji gani ya chupa unapenda kunywa na kwanini?

    Dew drop ya Sumbawanga ni "standard and excellent" Sent using Jamii Forums mobile app
  13. famousrkr

    Tatizo la maji maeneo ya Buhongwa, Mwanza

    Hawa MWAUWASA wanashida, maji hayatoki hata miezi3 mfululizo hasa maeneo ya Kigoto lakini kila mwezi wanaleta bili Sent using Jamii Forums mobile app
  14. famousrkr

    Kuna ubaya wowote kumla mtu safarini?

    usisahau na kapicha mkuu Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom