I hope wote mko poa after a long weekend,
Inakaribia miezi miwili tangu nipate matatizo yaliyonileta hapa JF kwa ushauri.
Kwa ufupi, mwezi wa December nilileta habari ya kuhusu Dada wa kazi akimweleza mume wangu siri hii, sina ndoa tena nikiwa na rafiki hapo nyumbani kwetu tukiwa in action...
This minister is far away disconnected from reality, arudi Shule aangalie kwa nn icc ilianzishwa
Icc haihusiki na mambo ya democracy or elections, icc inahusika na war crimes na crimes against humanity related cases,
Nchi inaweza kuwa na amani leo kesho amani ikapotea, mwaka 2002 wakenya...
Mwaka jana mwishoni hubby na watoto walienda likizo kijijini kama utaratibu wa kila mwaka, nyumbani tukabaki mimi na msichana wa kazi, sikupewa likizo kazini, siku moja msichana wa kazi alinifuma na rafiki hapo nyumbani kwetu red handed na amelitumia suala hilo kama silaha dhidi yangu.
Kila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.