Huna hela unahangaika kujumua maziwa na imeambiwa mtoto atakuwa anakuja kukusalimia sasa ngoja arudi umlishe matembele akuchukie hadi uyachukie maisha yako.
Wizara ya Ulinzi ya Uingereza ilisema Jumatano kuwa Russia imebadilisha harakati zake za jeshi la majini katika bahari ya Black Sea, ikiongeza kuwa kuna uwezekano majeshi ya Russia yanajiandaa “kutekeleza kizuizi kwa Ukraine.”
Wiki iliyopita, Russia ilijitoa katika mkataba wa karibu mwaka mmoja...
Hao wanamziki waliochangisha pesa unajua mgawanyo wake? Na unajua US imejilipa mara ngapi kupitia rasilimali za Africa? Umeshasikia Urusi ikijihusisha na migogoro ya Africa ambayo hutengenezwa na westerners, halafu wanakuja kwa mlango wa nyuma kujifanya wanatoa msaada?
Jiulize mataifa yenye...
Rais wa Urusi Vladimir Putin amesema anatazamia kuona Umoja wa Afrika (AU) unakuwa mwanachama kamili wa mataifa ya G20, akizungumza wakati wa kuanza kwa mkutano wa viongozi wa Afrika mjini St Petersburg.
"Tunatumai kuwa uamuzi huu utafikiwa mwanzoni mwa Septemba, wakati wa mkutano wa kilele wa...
Ndege ya kivita ya Russia iliruka umbali wa mita chache kutoka katika ndege ya Marekani isiyokuwa na rubani kwenye anga ya Syria na kupiga baruti.
Ndege hiyo iliipiga ndege ya Marekani na kuiharibu, jeshi la Marekani lilisema Jumanne, ikiwa ni tukio la karibuni katika mtiririko wa uchokozi wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.