Iki ndicho kilevi kwa watu unapopata mwanya wakutokua na kazi Hawa wazungu hatarNdo hulka yangu 😃😂😂😂🙌
🤣🤣🤣🤣Tutapata tabu hapo baadae electronic hiziKazi tunafanya na jf tunashinda😃😃😃
Unataka ndege apeperukeMtumie pesa, mashairi peleka shule.
Joking..
Hahahahaha Shairi lako tayariUsijali,, nishafanikisha zoezi![]()
Kapicha plzzz, tujiridhiahe na UZURI wako 😎Nitakuwa mchoyo wa fadhila nisipowapongeza wazazi wangu kwajili ya siku hii maana bila wao kupendana, na kujaliana hisia za kila mmoja, walikula wakashiba wakaenjoy vya kutosha, wakafurahi hadi akapatikana mtoto mzurii, mrembo na mwenye kila sifa za kuwa msichana