Recent content by Eyes_blogger

  1. Eyes_blogger

    Utamtambuaje kama ni rijali?

    Hii mada ni implication in wadada wa Vatican ila si wadada wa Tanzania bara [emoji18]
  2. Eyes_blogger

    Unapoamka asubuhi,cha kwanza kukishika ni kipi?

    Umeweka wewe sasa. Asante kwa nyongeza ndugu [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] Barikiwa
  3. Eyes_blogger

    Unapoamka asubuhi,cha kwanza kukishika ni kipi?

    Just like Always. [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] stay awake too
  4. Eyes_blogger

    Hii ni kwenu wasichana

    Swadakta leo kanitext eti bado upo dar [emoji28] told you atakuja mwenyewe after all being said and done
  5. Eyes_blogger

    Hivi kwanini watu wanapenda kutoa taarifa kwa kutisha?

    [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]
  6. Eyes_blogger

    Jinsi ya kutengeneza mwili bila kuingia Gym

    Inategemea na mkoa ulipo au mahala upatikanaji wake upo vipi kwingine ni 80000 kwa mwez
  7. Eyes_blogger

    Unapoamka asubuhi,cha kwanza kukishika ni kipi?

    Me hua nasali kabla hata sijagusa chochote yaani nitakapo shtuka tu cha kwanza ni kusali ndio mengine hufuata. .hata kusema Asante Mungu kwa siku mpya ni ibada tosha ya kushukuru. Hapo ruksa hata kushika simu au gazet au kitabu
  8. Eyes_blogger

    Imeniuma sana, mpenzi wangu hanipi hata senti wakati mimi namsaidia sana

    Hii noma ukiona hivi huyu jamaa si mume ni muuzaji kama wale wa kule kule wa ushungi mchana usiku nyeupe
  9. Eyes_blogger

    Jinsi ya kutengeneza mwili bila kuingia Gym

    Yeah kaka nilijifunza katika kipind nipo university coz inaitwa principle of Heath and management kua ukitoka tiz oga without soap maana mwili pia huzalisha chemical unapopiga tiz so ile chemical inatoka kwa njia ya jasho so ukioga na sabuni ilhali sabuni ina chemical unakua unajaza chemical juu...
  10. Eyes_blogger

    Hii ni kwenu wasichana

    Hii mada imenigusa mimi baby wangu nimempa likizo saiz nina siku kama 6 sijaongeana nae na I don't care . Too much love yanini ilhali hii ni Tanzania jua kali mno we need space la sivyo end of year inafika upo ndani tu no time for friends ye anataka ajue unachat na nani upo na nani salsa me ni...
  11. Eyes_blogger

    Ijue historia ya Chifu Mkwawa (Sehemu ya kwanza)

    Nilienda kalenga kama utalii wa ndani na kwa mujibu wa yule msimuliaji pale alisema alijiua kwasababu aliichukia ngoz nyeupe hivyo alitaka isimguse ndio maana akajiua. [emoji24] ndio maana walipo mkuta kafa waka mkata kichwa ili wapeleke uko kwao kuenda kuonesha mtu alie watesa na wanamkubali...
  12. Eyes_blogger

    Jinsi ya kutengeneza mwili bila kuingia Gym

    Na ukioga usioge na sabuni maana vitundu vya vinyweleo vinakua havija funga so soap contain chemical so huleta muwasho baada ya kuoga
  13. Eyes_blogger

    Imeniuma sana, mpenzi wangu hanipi hata senti wakati mimi namsaidia sana

    Kwani wewe ni male or female mbona sijaelewa mara wanamtaka wenye hela ina maana huyo mume ni beautiful sana?? Nawasilisha
  14. Eyes_blogger

    To Whom It May Concern

    The role of capitalist
Back
Top Bottom