Recent content by expel

  1. expel

    Ulevi na uzinzi vimemaliza vijana. Amkeni vijana mtakwisha

    TRUE TRUE TRUE mimi kama mimi kwa kweli ni muathirika wa ulevi niliumia hadi kupata matatizo ya uti wa mgongo,miezi mitatu kitandani bila kuinuka nilipiga chini na bodaboda nimeshindwa kuacha hadi nafikiria sijui nimerogwa hapa nilipo nipo kwa mama muuza saa saba hii usiku ningekua naamini...
  2. expel

    Hivi kwanini starehe nyingi ni dhambi?

    Si ulishaambiwa njia ya kwenda kule ni pana so take care man
  3. expel

    Polepole anakosa sifa hii muhimu ndio maana hakuna anayemzingatia

    Mkuu vp ushagonga urojo hapo forodhani
  4. expel

    Denis Urio, msiri wa Kingai, kwanini hajaletwa kizimbani wakati yeye ndiye source ya kesi ya Ugaidi?

    Sasa kipigo cha informer kule kwenye gari sababu yake nini
  5. expel

    Majambazi Wakenya Walivyotikisa na Kuweka Historia Kanda ya Kaskazini Nchini Tanzania

    Au the bold your back in another way natania
  6. expel

    Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

    mkuu kunywa maziwa tu achana na vyombo
  7. expel

    Haya mafuta ya kula yanayouzwa Buguruni 4000 lita yanatoka wapi?

    Bei imedown kimtindo 20 litres inagonga 83000 inawalipa kimtindo
  8. expel

    Kipi ufanye kukabili tatizo la akili lililochagizwa na fikra zako hasi

    mtoa mada kote umepatia ila hapo kwenye pombe aisee sio yan Mimi nikipiga pombe ndio hiyo hali inanisumbua sana
  9. expel

    Je, pombe humfanya mtu apoteze kumbukumbu?

    mwenykiti wa walevi hapa kumbukumbu inahama kabisa na hata ukiambiwa siku ya pili unakataa
Back
Top Bottom