Mambo ya Mzee Habib pande za Kirando au Nkomolo Namanyere lazima wangetoweka wote lkn sjui kama huu utalaaam bado upo wamebaki matapeli tu mkuuuMsada wangu kwako ni huu,je umekuta nyayo zao hapo nje? Kama zipo itakupasa kuchota mchanga wa nyayo zao kwa kutumia kifaa chochote Ila usiuguse huo mchanga kwa mikono yako baadae nitafute