Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,627
- 218,056
Kwamba MTU PEKEE WA KUMUAMINI KATIKA STRUGGLE NI WEWE MWENYEWE , hii ni kwa vile wengi tuliowaamini Wametusaliti .
Hii kauli ingetolewa enzi za mitume basi bila shaka huyu kijana leo tungekuwa tunamsoma kwenye vitabu vya Mungu.
Alphonce Mawazo alikuwa miongoni mwa Wahanga wa mwanzo kabisa kuteketezwa katika Utawala wa awamu ya 5 , aliuawa Kikatili kwa kukatwa na mashoka mithili ya Simba Mla watu na wauaji WALIOTUMWA KUMUUA .Mazishi yake yalizuiwa kwa muda mrefu na Serikali ya Tanzania kwa kutumia Jeshi la Polisi hadi pale Chadema ilipofungua shauri Mahakamani.
Bado mpaka leo tunaendelea kutafuta sababu zilizopelekea serikali ile kuzuia kwa nguvu sana Mazishi Halali ya Alphonce Mawazo , leo Shujaa huyu ametimiza miaka 6 tangu kuuawa kwake .
TUNAMUOMBA MWENYEZI MUNGU AIPOKEE ROHO YA ALPHONCE MAWAZO NA AIWEKE MAHALI PEMA PEPONI , AMINA .
Hii kauli ingetolewa enzi za mitume basi bila shaka huyu kijana leo tungekuwa tunamsoma kwenye vitabu vya Mungu.
Alphonce Mawazo alikuwa miongoni mwa Wahanga wa mwanzo kabisa kuteketezwa katika Utawala wa awamu ya 5 , aliuawa Kikatili kwa kukatwa na mashoka mithili ya Simba Mla watu na wauaji WALIOTUMWA KUMUUA .Mazishi yake yalizuiwa kwa muda mrefu na Serikali ya Tanzania kwa kutumia Jeshi la Polisi hadi pale Chadema ilipofungua shauri Mahakamani.
Bado mpaka leo tunaendelea kutafuta sababu zilizopelekea serikali ile kuzuia kwa nguvu sana Mazishi Halali ya Alphonce Mawazo , leo Shujaa huyu ametimiza miaka 6 tangu kuuawa kwake .
TUNAMUOMBA MWENYEZI MUNGU AIPOKEE ROHO YA ALPHONCE MAWAZO NA AIWEKE MAHALI PEMA PEPONI , AMINA .