Mr Q
JF-Expert Member
- Aug 16, 2012
- 16,114
- 33,400
Kwa kigogo hiyo ni case nyingine kabisa. Watu walimfuata sio kwa sababu ya msimamo bali kwa sababu ya taarifa alizokuwa ana release huku wengine mkiwa mmefyata mikia na ID zenu fake humuMsimamo ndo kila kitu.
Usimsahau Kigogo wa Twitter.
Jamaa kapoteza ushawishi mpaka huruma