Mbona taasisi mbalimbali zipo kivyama zaidi cdhani kama ni jambo geni endapo utakuwa hivyo coz mpaka sasa CWT hakuna asofahamu ipoje na ni makada wa chama kipi wanaoiongoza na imegeuzwa kuwa taasisi ya chama badala ya umma wa wanawake wa Tanzania.
Kwa hili tu ikibidi ibadilishwe jina
Kama yasemwayo ni kweli kwa mujibu wa mchungaji ni bora angeweka hadharani kile alichonacho nacho huu ya Daud kuliko kuwafanya watanzania watu goi goi .
Apeleke kwenye media ili media ziuonyeshe umma na ikibidi amlete huyo #Paulo halisi badala ya sarakasi tu
Pale unapotaka kulazimisha mchana kuwa asubuhi ilihali wajua ni ngumu ni sawa nakupandisha mlima kwakutumia kichwa.
Kwa elimu yangu ya darasa la pili B hila na visasi c njia sahihi yakuipata haki ambayo maybe wadhani umedhurumiwa au hujatendewa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.