Ila huo ndio ukweli, Na si mara moja kufanya hivyo. Kuna mechi nyingi sana Messi huwa anatoa nafasi na kwa wengine. So alichofanya jana ni jambo ambalo huwa anafanya mara kwa mara.
Messi ni mtu tofauti sana na ni mtu ambaye anapenda mafanikio kwa watu wengi. Hana uchoyo na si mbinafsi. Ila ingekuwa Real Madrid jana, Ronaldo angepiga zote, kwani anajiangalia yeye sana
Mkuu sio kweli unachosema kwani tumetofautiana ki uwezo, kila kitu sasa hivi kinafanyika kwa njia nyingi tu. Mimi binafsi ni moja kati ya watu wenye uwezo wa kufanya hicho kitu kwa njia zaidi ya 3 na vitu vingine zaidi ya hivyo but sipo hapa kwaajili ya kukuambia how and what to do, zaidi ya...
Kujidondosha kwa suarez ni moja ya mbinu katika mchezo na yeye si wa kwanza kufanya hivyo, wapo wengi wameshafanya hivyo. ila unasahau kwamba barca kanyimwa penalty mbili za halali.
Alafu pia goli la mwisho sio Offside, naomba wewe ndio cheki vizuri na kama unabisha sitoshindwa kukuletea video (...
Mheshimiwa Lema bana!
Eti ameniuliza ameingia jela Desemba hadi anatoka Machi bado man United ya sita, ligi ilisimama au?
Mi nimemwambia nitamjibu ngoja nimalize kazi!
:D:D:D:D:D:D
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.