Nanunua huu wimbo kwa elfu kumi

GAZETI

JF-Expert Member
Feb 24, 2011
5,285
6,729
Wimbo unaitwa natanga na njia - umeimbwa na Ally star, nimeutafuta kila
kona bila mafanikio.
 
Hahahahaaaaaa aisee we jamaa, nimejiuta nakumbuka kasha la album yake na ile picha yake kama kamwagiwa waji na nguo zimechanika. Kila bi mkubwa alipokuwa anaweka hiyo kanda nilikuwa najisogeza taratibu kwenye main switch na kui turn off, alafu nasema wamekata umeme. Siku aligundua lilitimka vumbi milango haikuonekana.
Hivi si alikuwa na Salma Kadogo or?
 
Wimbo unaitwa natanga na njia - umeimbwa na Ally star, nimeutafuta kila
kona bila mafanikio.

Ingia Google, and search.
Acha uvivu
upload_2017-3-8_12-33-3.png
 
Hahahahaaaaaa aisee we jamaa, nimejiuta nakumbuka kasha la album yake na ile picha yake kama kamwagiwa waji na nguo zimechanika. Kila bi mkubwa alipokuwa anaweka hiyo kanda nilikuwa najisogeza taratibu kwenye main switch na kui turn off, alafu nasema wamekata umeme. Siku aligundua lilitimka vumbi milango haikuonekana.
Hivi si alikuwa na Salma Kadogo or?
Ally star mkuu
 
Hahahahaaaaaa aisee we jamaa, nimejiuta nakumbuka kasha la album yake na ile picha yake kama kamwagiwa waji na nguo zimechanika. Kila bi mkubwa alipokuwa anaweka hiyo kanda nilikuwa najisogeza taratibu kwenye main switch na kui turn off, alafu nasema wamekata umeme. Siku aligundua lilitimka vumbi milango haikuonekana.
Hivi si alikuwa na Salma Kadogo or?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom