ally_kachai
New Member
- Feb 17, 2017
- 2
- 2
jaman ninavyo vyote tena zaidi tatizo weka basi hata picha yako nikupe namba yako
Hey miss njoo pm tuyajenge naona vigezo vyote ninavyo. Seriously i need youHabari zenu wote.. Ikiwa imetimia mwaka mmoja bila kuwa na mahusiano tangu niachane na mwanaume ambae nilimfumania na rafiki yangu na kupelekea kuachana nimeamua sasa kuingia rasmi kwenye relationship na mwanaume naemuhitaji kwanza;
1.Awe mchamungu
2.awe mpole kiasi
3.awe tayari kupima
4.awe na elimu ya juu kidogo kuliko maana mm Nina diploma
5. Mrefu kiasi mweupe kiasi au maji ya kunde asiwe mweusi sana
6. Awe anajielewa Mwenye future, vision na awe na Kazi inayomwingizia kipato
7. Miaka 28-35
8. Awe tayari kutofanya mapenzi mpaka tufunge ndoa au mpaka nitakapojiridhisha kwamba yeah he deserves to be my future hubby.
Mwisho wa yote awe na mapenzi ya dhati na ambae atajifanya analeta janjajanja asijisumbue Kabisa ..
Sifa zangu mom
1. Maji ya kunde
2. Elimu diploma
3. Nimeajiliwa
4. Dini muislam
Pm kwa maelezo zaidi
N:B Asiyekunywa pombe
Mmmh mkuu umetoka kule umenipekenyua na hukuHey miss njoo pm tuyajenge naona vigezo vyote ninavyo. Seriously i need you
True!Vigezo vizuri sana ila elimu sio inayoongoza maisha laa hasha subra,uvumilivu na upole,kusikia ndio vinaweza kuwa msingi wa maisha
Utakuwa una PhD mkuu so nami wa PhD simtaki full madharaudiploma sio elimu Dada I'm sorry!nimependa sifa zako ila sina diploma
Weka ww kwanza nione kama yaliyomo yamojaman ninavyo vyote tena zaidi tatizo weka basi hata picha yako nikupe namba yako
KvpHizo sifa ngoja ufungr nazo ndoa
Ukwel namaanishaMmmh mkuu umetoka kule umenipekenyua na huku
Sijakataa weusi lkn sio kama Baraka de prince
Sasa na ww umecomment au unachekeshaHiyo ni comment au kichekesho
Basi we hufai mkuu, anyway poayaan kuna sifa tatu nitazipinga kufa kupona...!
1. miaka
2. hutoi mzigo mpaka ndoa
3. kupima ukimwi..
hv mnahisi hatujielewi kabisa...! by the way ngoja nikusalimu.. miss charming mambooooo!!!!