Hii nimekumbuka nilivyomaliza form 4, wale wa mtaani waliofeli Sasa,,,tumepangiwa kwenda form 5,Sasa waliofeli Kila mmoja anajiseme lake,mara napelekwa jeshini,mara napelekwa chuo,nk,
Yaani Kuna wivu tu Fulani hivi wenzio wanaenda shule wewe upo home na hauna ramani,inauma.