Verse mbili za kwanza Na korasi zipo kwa lugha ya malikia, so sikuzikariri.
Chukua hii verse ya mwisho ipo kikwetu;
Hivi vitu viko wazi, kama vazi la kahaba,
Nasambaza maradhi, halafu nakupa Siku 7,
Machozi ni haba, Uokozi ni Njozi baba,
Ulimwengu wa Saba, Jehanam ya aina yake,
Kipe...