Recent content by ESPIRIT

  1. ESPIRIT

    Pata msaada wa tatizo lolote la kompyuta hapa

    Asante mkuu kwa msaada
  2. ESPIRIT

    Pata msaada wa tatizo lolote la kompyuta hapa

    Mkuu computer hp ilikuw natumia vizuri nikaizima, alafu kuja kuiwasha tena haiwaki. Lakini nikiweka waya wa power inaonyesha inaingiza moto vizuri. Je, shida ni nini?
  3. ESPIRIT

    Naomba maana ya ndoto hizi

    Mimi ni mwanaume wa miaka 30 hivi. Siku hizi nimekumbwa na ndoto za ajabu sana. 1. Kuota naongea na mbwa then mbwa anabadilika badilika, badae anakuwa kama mwanamke, halafu ananiomba nimfanye mapenzi, namfanya alafu anafurahi sana, anatamani niendelee 2. Kuota nahutubia watu, anakujua mtu...
  4. ESPIRIT

    T.O aoa:Huyu ndio mke wa T.O Form 6 mwaka 2012

    Mbn wote wazuri
  5. ESPIRIT

    MAMA TANZANIA UKO WAPI?

    Ndugu James F Mbatia uko wapi? Wana Vunjo tumechoka. Hakuna kinachoendelea jimboni. Huonekani, au u mgonjwa?!
  6. ESPIRIT

    Naomba msaada wa quote link ya thread

    CAG: makato ya bodi ya mikopo toka 8%-15% inakiuoa sheria kuna watumishi wanateseka na makato makubwa
  7. ESPIRIT

    Karibuni kwa maswali yote ya kiafya

    Asante sana Dr
  8. ESPIRIT

    Jina gani hutaki kulisikia linalokuumiza kimapenzi?

    Anjel tusitaniane, pumbavu mkubwa kisirani weee. Wewe ni mnaa sana. Nini kunifanya bwege, unaenda kumbwato na wengine alafu unanijia usiku eti una hamu. Nakataa nasema naumwa, eti unalia. Halafu nakomaa sikuto*** baada ya miezi miwil una mimba. Hujui aliyekupa. Nenda huko malaya weee. Ndio mana...
  9. ESPIRIT

    Mrejesho wa kuajiliwa!!

    Hongera sana. Wewe ni mwalimu?
  10. ESPIRIT

    Umegundua nini kwenye hizi picha za Makamu wa Rais akiwa kwenye ziara mjini Magharibi?

    Nampenda kwa sababu 1.Ana Kiswahili fasaha 2. Anajua kutofautisha kati ya R na L. Sio kama fulani.
Back
Top Bottom