Na kuna kasichana Fulani kaTO ka mwaka huo kalikuwa kanapga CoIT ,nadhani kama sio TE ilikuwa Computer engineering, VP ameolewa tayari,kama bado nitafurahi nikipata namba zakeYule wa chemical alikuwa wa pili form 6.
Na kuna kasichana Fulani kaTO ka mwaka huo kalikuwa kanapga CoIT ,nadhani kama sio TE ilikuwa Computer engineering, VP ameolewa tayari,kama bado nitafurahi nikipata namba zakeYule wa chemical alikuwa wa pili form 6.
VibaruaHao ma TO ndio wanakuaga wakina nani huku maishani?? Mawaziri??
wengi wanabakizwaga vyuoni kufundishaHao ma TO ndio wanakuaga wakina nani huku maishani?? Mawaziri??
Wakibakizwa Ndo wanakuja kua maprofesa type ya Kitila Mkumbo, Lipumba na Kalamagamba Kabudi sio?wengi wanabakizwaga vyuoni kufundisha
Exactly katoto keupe kastaarabu,kakismile mashaalah faithHahahah anaitwa Faith Asenga
Hahaha hii inaitwa kamatia fursa......Na kuna kasichana Fulani kaTO ka mwaka huo kalikuwa kanapga CoIT ,nadhani kama sio TE ilikuwa Computer engineering, VP ameolewa tayari,kama bado nitafurahi nikipata namba zake
Ahhha haaHahaha hii inaitwa kamatia fursa......
Huyu hapa ndio alikuwa namba moja Faith PhillipNa kuna kasichana Fulani kaTO ka mwaka huo kalikuwa kanapga CoIT ,nadhani kama sio TE ilikuwa Computer engineering, VP ameolewa tayari,kama bado nitafurahi nikipata namba zake
Ajabu masikini ya Mungu hawa baadae unawakuta wanaajiriwa na boss fulani tu hivi kichwani mweupe kabisa sometimes alikimbia kitabu.Hao ma TO ndio wanakuaga wakina nani huku maishani?? Mawaziri??
Mwingine huyu aliwaongoza form 4 ila form 6 akawa wa 5 Imaculate Mosha huku aliyekuwa wa 7 form 4 akawa wa kwanza form 6.Ahhha haa