mimi niko huku k'koo ni ukweli kabisa! Zaid ni wazee na vijana wa kiswahil, wanaoshinda kunywa kunywa kahawa na ukiwachunguza utagundua hawana elimu kabisa! Tatizo lao wao wanaamini kuwa siasa ni ushabiki kama vile wa timu za Simba na yanga hivyo hata timu yako ifungwe vp bado wataendelea...
acha mawazo mgando, unataka kila tawi atakalo fungua aite media ili zireport, tunakujua wewe, Heche alikushinda kwenye kinyang'anyiro alaf leo unataka kuleta uchuro wako wa magamba!
Hongera cdm, safari huanza kwa hatua moja ila safari yenu Igunga imeanza kwa hatua mia moja! Magamba hamna cha kujivunia kwa ushindi kiduchu wa uchakachuaji
nimejihisi kutapika kwa ujinga ulio uandika hapa,
1. Wale ni watanzania ambao ni ndugu zetu na wanaumia kuona sisi ndugu zao tunaumia na kupata shida bila sababu ya msingi.
2. Hata wao wanaatthirika kiuchumi wao binafsi kwani lazima watumie sehem ya kipato chao kwa kuwatumia ndugu zao ambao...
Hii ni hotuba ya iliyoandikwa na mfungwa mswahili, ni hotuba inayosisimua sana, hotuba hii inaeleza uhalisia wa maisha ya gerezani, inaelezea ombwe la uongozi lililopo katika nchi yetu, imeenda mbali zaidi kuonyesha gap lililopo kati ya watawala na watawaliwa pia mfungwa huyu amejitahidi...
Duh! Kumbe huu ndio uchapakazi ambao Sofia Simba alikuwa akimsemea Lowassa! Basi nimeamini kuwa uwezo na upeo wa Sofia Simba katika kutafakari na kuchanganua hoja, imenifanya niamini kuwa aliposema ''wanawake wawanyime ngono waume zao kama sio wafuasi wa ccm'' hakukosea bali ilikuwa mwisho wake...
ccm lazima ife ndio watanzania tujipatie katiba mpya, mzee wetu na nabii wetu ameshatutabiria kuwa hata kufa kabla ya ccm kufa! Na ukweli kwa hali ya ccm ilivyo sasa naifananisha na 'mzee mgonjwa' aliye zeeka kushinda hata mzee wetu wa leo! Hivyo mzee wetu hatakufa kabla ya sisi kufanya matanga...
Eee bwana! Umenena hotuba ya Lema ni ya ukombozi wa Taifa hili, hotuba ya Lema ndio hotuba yenye msisimko kuliko hotuba zote zilizowahi kutolewa bungeni kutika bunge hili la kumi sio kwa upinzani sio kwa serikali, Lema amefunika zote hadi sasa! Tunaomba kambi ya upinzani itupatie nakala ya...
Chadema tunaamini ktk mabadiliko, na vijana ndio nguvu ya mabadiliko, Vijana makini na mahiri ndani ya chadema wapo wengi sana! Chamsingi Dr. asimamie na ashiriki kisawasawa katika upatikanaji wa kamanda
Nashukuru Mungu CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO(CHADEMA) Tumepewa fursa nyingine kuonyesha uwezo wetu wa kuwatetea watanzania pia ni nafasi nyingine adimu ya kuuanika usanii wa chama cha magamba(ccm) hadharan, Pls wanaJF tusikosee hiiii! Jobless Ndugugani baada ya Mbowe kukushika na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.