Ni hali ya kawaida,me enyewe nko ivyo japo kila mtu ata kuona kivyake, utaonekana mpole, mkali kupitiliza, usiye na furaha,mwenye dharau,usiyejiamini na wengine wanaweza sema ww ni Shushushu wa Usalama wa Taifa
Me enyew nlitafuta sna chumba mwenyew nkakosa nkampata uyo dalali akanpatia chumba mda mfupi tu ila akadai na yy alipwe kodi ya mwezi mmoja,,iliniuma sana maan sio uongo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.