Ndugu WanaJamii, nadhani tu wazima sisi ni jambo la kumshukuru manani. Mwenye ujuzi nilikuwa nataka atufafanulie maana ya Philosophy (Falsafa). na vipi mtu awe Philosopher (MwanaFalsafa) kama akina Robin Sharmah, Albert Einstein, Phill Collins, Francis Bacon, Isaac Newton na wengi wengineo.
Nawasilisha wana White House wa JamiiForums.
Nawasilisha wana White House wa JamiiForums.