Recent content by erick mlacha

  1. erick mlacha

    US, UK and France launch airstrikes in Syria

    Bwana akubariki sana ndugu
  2. erick mlacha

    Taasisi ya dini inavyojipotezea heshima nchini Tanzania!

    Hio ni kweli kabisa. Wanawadanganya waumini wao kuwa wataenda mbinguni na vimini. Yesu aliwaita wanafiki. Wanaacha neno wanaangaika na siasa. Wakati shetani alimwambja yesu ukinisujudia nitakupa ulimwengj mzima na mifumo yake. Pamoja na masiasa. Yote hayo ni ya ibilisi. Nashangaa madhehebu...
  3. erick mlacha

    Askofu Pengo: Sikufahamu kuhusu waraka wa Kwaresma wa Baraza la Maaskofu Katoliki. Awaasa wasichanganye dini na siasa

    Madhehebu yote yamekufa. Hayatakaa yaje yakae sawa Walipojitengenezea kanuni nje ya biblia hapo mungu walimuacha. YEYE YUPO NJE YA MILANGO YA KANISA. AKIGONGA, AMTAKAE AMFATE NJE YA MADHEHEBU. Sishangai hayo yote.
  4. erick mlacha

    Je! Mamlaka zinamuogopa Prof. Mlacha,??

    kaka achana nae bwana
  5. erick mlacha

    Nafikiri Biblia na Qur'an ni project zilizofanywa na wanadamu - Prove me wrong!

    Huwezi kumuelewa mungu kwa sayansi kamwe. Madhehebu hayakuamini biblia wakajiwekea vitabu vyao vya theology. Hivyo ndivyo vita fail. But not that holy word of God. Tunaona mambo yaliyosemwa zaman yakitimia sasa. Uzuri mungu ni kwamba yeye anayaficha mambo yake kiasi kwamba mwanadam hawezi...
  6. erick mlacha

    Nafikiri Biblia na Qur'an ni project zilizofanywa na wanadamu - Prove me wrong!

    You depend on science but it can fail. It always grow. Then there is not a place to stand on.
Back
Top Bottom