Hio ni kweli kabisa.
Wanawadanganya waumini wao kuwa wataenda mbinguni na vimini. Yesu aliwaita wanafiki.
Wanaacha neno wanaangaika na siasa.
Wakati shetani alimwambja yesu ukinisujudia nitakupa ulimwengj mzima na mifumo yake. Pamoja na masiasa.
Yote hayo ni ya ibilisi.
Nashangaa madhehebu...
Madhehebu yote yamekufa.
Hayatakaa yaje yakae sawa
Walipojitengenezea kanuni nje ya biblia hapo mungu walimuacha.
YEYE YUPO NJE YA MILANGO YA KANISA.
AKIGONGA, AMTAKAE AMFATE NJE YA MADHEHEBU.
Sishangai hayo yote.
Huwezi kumuelewa mungu kwa sayansi kamwe.
Madhehebu hayakuamini biblia wakajiwekea vitabu vyao vya theology.
Hivyo ndivyo vita fail.
But not that holy word of God.
Tunaona mambo yaliyosemwa zaman yakitimia sasa.
Uzuri mungu ni kwamba yeye anayaficha mambo yake kiasi kwamba mwanadam hawezi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.