Je! Mamlaka zinamuogopa Prof. Mlacha,??

Je! Mamlaka zinamuogopa Prof. Mlacha,??

Huyo prof ana vituko sana, nasikia alikuwa anawaambia wafanyakazi wa UDOM kuwa wamemzidi urefu na umasikini tu.




.
Ni kweli aliwaambia wanafunzi walio kua na malalamiko pale UDOM ilikua mwaka jana, huyu mzee ni jeuri sana, na ukikosea ukapelekwa kwake pale UDOM chuo huna anaogopwa sana
 
Wafanyakazi wamekutuma au umejiongeza?
Mambo yasiyokuhusu...labda ni mradi wa ccm kama ulivyokuwa ule wa UDOM - vilaza.
 
Huyu prof. Bwege mno ndiye mtunga mashairi ya chama cha mapinduzi.

Aliwahi nitukana ofisini kwake kumaa nami nikamrudishia hivyo kumaa mwenyewe alicheka mno..!



Shule yake mwaka huu ina wanafunzi 12.

Chuo kina wanafunzi 8....

Jumla ana wanafunzi 20... Sekondari na Chuo.
 
Ni kweli aliwaambia wanafunzi walio kua na malalamiko pale UDOM ilikua mwaka jana, huyu mzee ni jeuri sana, na ukikosea ukapelekwa kwake pale UDOM chuo huna anaogopwa sana
Mwaka jana alishaondoka Udom ...... Aliliwa kichwa mwaka juzi .


Amefanya ubadhirifu wa hali ya Juu sana.
 
sidhani kama kuna kosa kumlipa mfanyakazi hela mikononi maana ndy mfumo mwingi wa ulipaji na hamna sheria inayolazimisha kufanya malipo kwa njia ya benki maana yeye ni katika sekta ya kibiashara na siyo serikali.
Kuhusu madai kuwa anakwepa kodi je wewe mtoa mada unaweza kuthibitisha kwa vyombo husika?
Kuhusu marejesho ya mikopo ya Loan board pia hili unaweza kuleta doc inaweza kuonyesha kuwa anawaficha?
Tuache umbea na wifu kwa watu ambao wana maendeleo au wamejitolea kusaidia taifa
 
sidhani kama kuna kosa kumlipa mfanyakazi hela mikononi maana ndy mfumo mwingi wa ulipaji na hamna sheria inayolazimisha kufanya malipo kwa njia ya benki maana yeye ni katika sekta ya kibiashara na siyo serikali.
Kuhusu madai kuwa anakwepa kodi je wewe mtoa mada unaweza kuthibitisha kwa vyombo husika?
Kuhusu marejesho ya mikopo ya Loan board pia hili unaweza kuleta doc inaweza kuonyesha kuwa anawaficha?
Tuache umbea na wifu kwa watu ambao wana maendeleo au wamejitolea kusaidia taifa


Jifunze kuandika.... Wivu na sio wifu.
 
Back
Top Bottom