Ametutoa kutoka elimu ya malipo kwenda elimu bure lakini bila ubora wa miundo mbinu huko mashuleni,
Pia ametutoa kwenye mbaazi kilo9000 hadi 300
Ametutoa kwenye gunia La mahindi gunia 100000 hadi sh 20000
Kweli tutanyooka nae
Ukileta usuper star wako kwenye ndoa,lazima ikushinde.
Tunaweza tukaangalia upande wa huyu dada je,upande wa mwanaume kuna nini ndani yake? Mda mwingine wanawake tunapenda kulalamika wakati huo wewe husimami kwenye nafasi yako.unataka na wewe uonyeshe kuwa uko juu ya mwanaume coz unaweza kila...
Tatizo watu wanashindwa kutofautisha Elimu na ndoa.ukisimama kwenye nafasi yako wala hakuna tatizo kuoa msomi.Hata ukiwa na elimu mbele ya mume unatakiwa kushuka na kuisimamia nafasi yako kama mke.Pia kama ni mume umeoa asie na elimu ni wakati wako kushuka ili mwenzio asijione tofauti.
Mimi nivyosoma Quraan ilishushwa kwa kupitia mhamad, na ndiye mwasisi wa uislam. Sasa musa na Ibrahim wanakueje waislam kama walikua kabla ya Muhammad. Acha upotoshaji uislam ni dini ya kukopi na kupest.
Yesu alizaliwa au hakuzaliwa? Na kama alizaliwa inakuumiza nini mimi au wewe kusherekea siku ya kuzaliwa kwake,Na upagani unaingiaje hapo? Wanaokataa kusherekea siku ya kuzaliwa Yesu ni mpagani kwa maana sisi ni mwokozi wetu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.