Amelipa mahari milioni 4!

Amelipa mahari milioni 4!

hahahahahahahha nimecheka kwa nguvu niko ofisini dear

hurumia mbavu zangu, kumbuka hakufika sehemu husika so anaweza akawa alikuwa tu jiji kubwa huku akitudanganya pande zote
Aisee
Sio kwa mahela yale my dear!!!
 
Million 5 kitu gani? Yeye mbona atafanya mengi sana kuliko hata hiyo hela katika maisha yako!!! Acheni kulia lia wanaume kaaa
 
Mi naona hili jambo la mahari lifutwe tu maana haina maana tena kama mke mwenyewe wewe ndio mwanaume wake wa 13 toka aanze mapenzi. Hao wengine wamepiga bure
 
wewe bikira unayo? ushawahi kuwabikiri wangapi? kwa taarifa yako wanawake wachache sana wanaoolewa wa mjni wanaoolewa na wariowabikiri.
unaweza kuoa bikira ukafikiri wewe ndo mjanja wake akakutana na wataalamu wakamkarabati ukaonekana wewe sio kitu.
we lipa tu hiyo nne tabu iko wapi ukipata mechi tatu kwa wiki kwa miaka 20 hela yote isharudi!
utagoma kulipa milioni 4 lakini utamnunulia baba mkwe gari la m12 au utamsomesha shemeji yako kwa m7 we endelea kugoma
umnunulie baba mkwe gari la nini? kwani lazima? unarahisisha sana maisha
 
umnunulie baba mkwe gari la nini? kwani lazima? unarahisisha sana maisha
we jaa upepo tu kwa sasa ukikua utayajua (ngoja ukunjwe vizuri) watu wanajenga nyumba na thamani za ndani wanapeleka achilia mbali kuwaanzishia biashara
 
hivi tunatumia muda mrefu kujadili hili hivi tunajua thamani ya mke tunayemtaka? lakini achilia hilo je tumejiandaa kuwa unataka mke waamna gani na aje kwako afanye nini?
mwisho sijui kama tunajua kama ndoa ni mkataba na kama mkataba una consideration?
nafikiri tuanzie hapa ndo tujadili mahali.
 
Unakuta MTU anajua wanaume kibao na huenda ana mtoto halafu wanataka mahali kuuubwa,sasa hiyo mahali ni shukrani ya nn
Upangaji wa mahari hauzingatii ilo kumbuka mapenzi hayana shombo....99% ya wanawake wanaochumbiwa au wanaoolewa Tz bara sio bikra na bikra zao hazijatolewa na wanaowachumbia au kuwaoa....km unabisha sawa.....cz hiyo ni fact tu...
 
Unakuta MTU anajua wanaume kibao na huenda ana mtoto halafu wanataka mahali kuuubwa,sasa hiyo mahali ni shukrani ya nn
Upangaji wa mahali unazingatia dini ya MTU au mila xi vinginevyo...
Kumbuka mapenzi hayana shombo km samaki..
95% ya wanawake wanaoolewa/kuchumbiwa sio bikra na bikra zao hazijatolewa na wanaowaoa/chumbia...hata wale waliowatoa bikra nao wanaoa/chumbia wanawake ambao sio bikra...
NB:5% iliyobakia km ni bikra sio mjini na km kaolewa bikra ni kijijini tena Nina uhakika kafeli darasa7 ....
 
we jaa upepo tu kwa sasa ukikua utayajua (ngoja ukunjwe vizuri) watu wanajenga nyumba na thamani za ndani wanapeleka achilia mbali kuwaanzishia biashara
sio mimi kwa kweli,
 
we jaa upepo tu kwa sasa ukikua utayajua (ngoja ukunjwe vizuri) watu wanajenga nyumba na thamani za ndani wanapeleka achilia mbali kuwaanzishia biashara
inaoneshwa wewe umeshikwa sana akili
 
inaoneshwa wewe umeshikwa sana akili
teh..teh...teh.... hapana kwanza mimi sijawahi kulipa mahali kubwa kiasi hicho na mpaka sasa bado nadaiwa mahali na kizuri zaidi hela yangu haikulipa mahali niliyoolea wazazi walilipa kwa taratibu za kwetu.
ninachotaka kusema kuwa mahali ichukuliwe kama zawadi kwa wazazi kwa kwa kumtunza binti yao na wewe ukampenda na kwa mazingira hayo unatoa zawadi inayouma kwa kiaisi chako hiyo ndo uhalali.
sasa kwa maisha ya sasa unakadiliwa na kiukweli sio ukiwaambia huna mke huondoki naye, hapana mke watakupa kisha watakudai japo hutasikia tangzo la kukudai ila utalipa invoice siku zote.
kwa hiyo la msingi kabla ya kufanya maamuzi mthamini mtu unayeenda kumuoa baada ya hapo hutaona shida kulipa 4m.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom